hata siku moja haiwi useless coz me ndio huwa naitumia kwenye mini laptop yangu na kufunga windows kwenye pc zilizokufa cd rom kama hizo.model?
linux unaweza install kwa kutumia USB stick.
Ila inabidi bios iwe na uwezo wa ku boot kutoka ktk usb device. Hata alaternative ya Belo ni useless kama huwezi boot toka ktk USB device
<br />model?<br />
linux unaweza install kwa kutumia USB stick.<br />
Ila inabidi bios iwe na uwezo wa ku boot kutoka ktk usb device. Hata alaternative ya Belo ni useless kama huwezi boot toka ktk USB device
sijakuelewa, yaani bios hairuhusu ku boot kwa usb lakini unaboot kwa usb? Au sijaelewa ulichoandika?hata siku moja haiwi useless coz me ndio huwa naitumia kwenye mini laptop yangu na kufunga windows kwenye pc zilizokufa cd rom kama hizo.
tengeneza Bootable USB Flash DRIVE uFormat na kuInstal Windows upya...Jamani dvd rom yangu imekufa haisomi chochote baada ya kuhangaika nayo sana.
Nawezaje kufomati laptop yangu