Duwasa Dodoma acheni uzembe

Duwasa Dodoma acheni uzembe

HARRISON ONE

Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
44
Reaction score
32
Kuna tatizo kubwa sana la maji mitaa ya Ilazo daraja dogo hadi maeneo ya Toronto, mnasema kuwa maji yatatoka siku tatu kwa wiki lakini hayatoki!!!na tatizo hili ni la zaidi ya mwaka na zaidi!! Mkipigiwa simu na kupewa taarifa bado mnapiga poroja na kutoa majibu ambayo hamyatekelezi!!
 
Hamia Mailimbili mkuu huku ckumbuki ni lini maji yalikatika since nimehamia 2017
 
Kutokana na wingi wa Watu Dodoma Kuna baadhi ya maeneo yana shida ya maji! ila kwa kiwango kikubwa sana DUWASA wanajitahidi sana kuhakikisha wanaenda na kasi ya ongezeko
 
Kuna tatizo kubwa sana la maji mitaa ya Ilazo daraja dogo hadi maeneo ya Toronto, mnasema kuwa maji yatatoka siku tatu kwa wiki lakini hayatoki!!!na tatizo hili ni la zaidi ya mwaka na zaidi!! Mkipigiwa simu na kupewa taarifa bado mnapiga poroja na kutoa majibu ambayo hamyatekelezi!!
Kumbe walisema yatatoka siku tatu tuu kwa wiki? Ila ni wiki hii na ilopita ndo nimeona shida kubwa kwa huku kwetu Ilazo.
 
Back
Top Bottom