Kwa kuthamini urafiki na uhusiano bora alio nao mtoa mada na jamaa, kwakutokubali kufanya zinaa na huyo dada pili kumuonesha dada kuwa anavalue zaidi uhusiano bora alionao na jamaa yake wanawake wapowengi wanaoweza kutimiliza mahitaji ya mwili wake incase akizdiiwa lakini sio huyo shemeji .Maamuzi haya yanaweza kumfanya baada ya kitambo kupita awe proud mwenyewe kwa kujiona mwanaume bora aliyeishinda zinaa kwa kuweka urafiki mbele na kuukana usaliti.
Awokoe rafiki yake kwa maana ya kuwa inawezekana jamaa ndio kajiwekezea hapo anaona huyo ndiyo mke wa kuweka ndani lakini kama ameweza kujirahisi hivyo kwa mtoa mada je kwa wengine ?Sio mwanamke mzuri