hivi hamna shughuli nyingine za kufanya!? Mwanamke siyo wa kumpenda kwa namna unavyoeleza, hawanaga shukrani hao!
Yani mwanamke unampenda na kuonyesha mapenzi yako kwake lakini yeye wapi! kweli nimeamini kupenda sio kazi, kazi ni kumpata akupendae kwa dhati
alikutokea mumy?
nikajua ndio umembwaga kabla sijakustukia.Hapana bwana wee anitokee haogopi?
Nadhani hukunielewa!!! sio kumfanyia visa, wanawake mlivyo mkionyeshwa mnapendwa vituko ndani haviishiHalafu ukishamfanyia visa anachoka anakimbilia kwenye pumziko unakosa mwanamke !
akupendae kwa kuigiza ukatili
nikajua ndio umembwaga kabla sijakustukia.
sawa my dearHakuna hana hiyo jeuri