Hahahahahaaa! Hivi akishavua;
-atavaa tena au itakuwa ndiyo fasheni yake "milele"?
-u-waziri utaishia hapohapo au ataendelea kula " mkate wa marehemu"?
-hoja za "sieijii" zitakuwa zimejibika?
-kanuni,sheria ya mavazi itaenda kurekebishwa bungeni?Maana kuna watu nchi hii hawapendi kupitwa na fashion watataka waige.