Duru ya pili uchaguzi IFM

Duru ya pili uchaguzi IFM

GGUY

New Member
Joined
May 11, 2013
Posts
3
Reaction score
2
Ni baada ya uchaguzi wa awali ili kupata wagombea wawili hivyo kesho ni kiama nani RAIS mteule wa CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA licha ya uchaguzi wa awali kugubikwa na utata mkubwa kwani inasadikika magamba yamesimamisha mtu wao katu wanachuo wameapa kuwa kamwe hawatakosea hata kama management itataka kufanya uhuni tumeapa kulinda kura kwa nguvu zote..........:embarassed2:🙂
 
Mods,

I doubt na mnachokifanya hapa! Huu uzi siasa bana rudisheni huko....
 
hv hao magamba hawana kaz ingine mpk kila kukicha kuiwaza cdm.jaman ogopen sana magamba kama ukoma..watoto wa mjin mckubaliane na magamba
 
Back
Top Bottom