Dunia simama nishuke

Atukuzwe Mungu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo. Yaani nikiangaliaga ubora wa vitu alivyoumba Mungu hakika naishia kusema Mungu Fundi.
 
Haya madudu ukiyalaza hayana lolote...hayo unayoyaona sasa yakiwa yamevaa hutoyaona ukiyavua...
Ushetani tu!
Sio kwa hili lakini [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…