Dunia kuwa na Serikali moja?

Dunia kuwa na Serikali moja?

Bess

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
555
Reaction score
661
Ni pale nchi zenye majeshi na vifaa hatari mfano; Marekani na Russia wakianza kushirikiana kijeshi na kila mmoja kutooona tishio kwa mwenzake ujue wakati wa serikali moja umefika.

Ni pale UN itakapokuwa na jeshi lake, lenye kupokea order kutoka baraza moja la kijeshi ujue dakika za kutawaliwa kwa maslahi ya hawa jamaa wachache umefika.

Ni pale utakapoona Israel imekosa rafiki, na kuonekana ni adui wa kila nchi duniani; na kufikia kuwa na tishio la kuanguka kwake, ujue new world order inaanza kufanya kazi
Ni pale tamaduni zitakapokosa nguvu, mfano tamaduni za China, Japan, India ujue wakati wa kutawaliwa na serikali moja umefika.

US yenye bajeti ya kijeshi Zaidi ya nchi kumi zinazoifuatia, ikiungana na hizo nchi kumi kwa mfano ni nani atakayepinga NewWorldOrder?
 
Kama Iran watafanikiwa kuwa na nuclear weapons kidogo anaweza kuwamudu hao jamaa lkn all in all atapigwa na atachakaa
 
.....na kama Tanganyika ikirudi kuwa na nguvu na sauti juu ya nchi za Kiafrika kama enzi za Nyerere.
 
Ni pale nchi zenye majeshi na vifaa hatari mfano; Marekani na Russia wakianza kushirikiana kijeshi na kila mmoja kutooona tishio kwa mwenzake ujue wakati wa serikali moja umefika

Ni pale UN itakapokuwa na jeshi lake, lenye kupokea order kutoka baraza moja la kijeshi ujue dakika za kutawaliwa kwa maslahi ya hawa jamaa wachache umefika

Ni pale utakapoona Israel imekosa rafiki, na kuonekana ni adui wa kila nchi duniani; na kufikia kuwa na tishio la kuanguka kwake, ujue new world order inaanza kufanya kazi
Ni pale tamaduni zitakapokosa nguvu, mfano tamaduni za China, Japan, India ujue wakati wa kutawaliwa na serikali moja umefika

US yenye bajeti ya kijeshi Zaidi ya nchi kumi zinazoifuatia, ikiungana na hizo nchi kumi kwa mfano ni nani atakayepinga NewWorldOrder?
Basi ujue kanisa linanyakuliwa anytime
 
Ni pale nchi zenye majeshi na vifaa hatari mfano; Marekani na Russia wakianza kushirikiana kijeshi na kila mmoja kutooona tishio kwa mwenzake ujue wakati wa serikali moja umefika

Ni pale UN itakapokuwa na jeshi lake, lenye kupokea order kutoka baraza moja la kijeshi ujue dakika za kutawaliwa kwa maslahi ya hawa jamaa wachache umefika

Ni pale utakapoona Israel imekosa rafiki, na kuonekana ni adui wa kila nchi duniani; na kufikia kuwa na tishio la kuanguka kwake, ujue new world order inaanza kufanya kazi
Ni pale tamaduni zitakapokosa nguvu, mfano tamaduni za China, Japan, India ujue wakati wa kutawaliwa na serikali moja umefika

US yenye bajeti ya kijeshi Zaidi ya nchi kumi zinazoifuatia, ikiungana na hizo nchi kumi kwa mfano ni nani atakayepinga NewWorldOrder?
Hii kitu ya serikali moja haiji kwa vita inakuja kwa diplomasia ya ajabu sana(peace&love)
 
Hii kitu ya serikali moja haiji kwa vita inakuja kwa diplomasia ya ajabu sana(peace&love)
diplomasia ni matokeo ya ubabe, ni pale ambapo alternative ya kukataa muungano ni kupigwa; itakuwa mfano wa dola yoyote iliyowahi kutawala dunia
 
Serikali moja duniani uraisi tumpe kiduku tu, maana naona heshima inashuka sana
 
Manabii wa kisulisuli bana,
Ni pale nchi zenye majeshi na vifaa hatari mfano; Marekani na Russia wakianza kushirikiana kijeshi na kila mmoja kutooona tishio kwa mwenzake ujue wakati wa serikali moja umefika

Ni pale UN itakapokuwa na jeshi lake, lenye kupokea order kutoka baraza moja la kijeshi ujue dakika za kutawaliwa kwa maslahi ya hawa jamaa wachache umefika

Ni pale utakapoona Israel imekosa rafiki, na kuonekana ni adui wa kila nchi duniani; na kufikia kuwa na tishio la kuanguka kwake, ujue new world order inaanza kufanya kazi
Ni pale tamaduni zitakapokosa nguvu, mfano tamaduni za China, Japan, India ujue wakati wa kutawaliwa na serikali moja umefika

US yenye bajeti ya kijeshi Zaidi ya nchi kumi zinazoifuatia, ikiungana na hizo nchi kumi kwa mfano ni nani atakayepinga NewWorldOrder?
 
mimi nitakuwa mmoja wa wapingaji nitahakikisha nawapukutisha wazungu mmoja baada ya mwengine waishio Tz iwe kwa risasi au kiruangwaruangwa
Nalog off
 
Manabii wa kisulisuli bana,
kuona dalili na kusema yatakayotukia nadhani sio unabii, ni moja ya matokeo ya uwezo wa ubongo kuchakatua mambo kwa kina. unabii unahusisha mambo ya rohoni ambayo hayahusishi akili
 
Back
Top Bottom