Dunia ingekuwaje bila wazungu?

Tungekuwa tunachati JF tu maana hii imeanzishwa na Mwafrika.....
 
Hakuna ushahidi kwamba kuna wakati misri ilikuwa ndio dunia na ustaarabu wao ndo uliongoza dunia labda ile wanaita known world ya kipindi hicho
 
Hakuna ushahidi kwamba kuna wakati misri ilikuwa ndio dunia na ustaarabu wao ndo uliongoza dunia labda ile wanaita known world ya kipindi hicho


Ni nani amekudanganya kwamba hakuna ushahidi? Hivi mapiramidi yaliyoko Misri yalijengwa na nani na ni kipindi gani? Ni kwa nini Vyuo Vikuu vingi Duniani hasa vya Wazungu kuna somo linaitwa Egyptology? watu wanasomea kuanzia Bsc, Msc mpaka PhD ya Egyptology, Unaweza kunijibu hili swali?
 
Nyie mnatafuta nipewe ban bure, koma kabisa, tena ukomeeeeee..... Kama ulivyo koma.
Mungu wangu miye hana upendeleo senzi zako wewe...........

.
Sasa mkuu, huyo mungu wako unamtetea kwa "Mijitusi" namna hiyo?! Huyo ni mungu mfu hakika.
 
Wazungu walianzia pale waarabu na baadh ya waafrica walipoishia.....
 
egypt walitumia Pythagoras kujenga pyramids kabla ya Pythagoras hajazaliwa ulaya.

kulikuwa na maendeleo makubwa ya sayansi kiasi kama utaalam wao ungevuka wakati huu dunia ingekuwa ngazi nyingine....

kunakaukweli kwamba civilization huwa ina collapse baada ya muda kwa sababu moja au nyingine na tuna karibia wakati huo... Europe inadondoka katika vizazi vitatu vijavyo.....
 
Hawa jamaa achana nao! Sijui huwa wanatumia akili gani kufikiri?!!
 
Hahahahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

lundo la mikokoteni...
 
Unaijua mipaka ya dunia ya kipindi hicho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…