Igweeeee
Aisee ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni hivyo ndivyo waswahili hunena!
Pia nachelea kusema hapa Tanzania tunaupinzani usiokuwa na hoja wala ajenda zao wenyewe, zaidi wao ni kuunga juhudi kitu chochote kinachompinga rais na serikali
Wote tunafahamu, katika siasa za bunge la nchi hii kwa kiwango kikubwa zimeharibiwa na speaker ndugai
Mtu aliyewaumiza upinzani hasa chadema ndani ya bunge ni huyu ndugai. Ndugai alimnyasa sana Tundu lisu, aliwafuta ubunge wabunge wa chadema, aliwafukuza nje ya bunge, aliwaambia kabisa hawatarudi baada ya 2020, aliwatusi familia zao na zaidi huyo Ndugai aliwahalarisha wabunge covid 19 huku chadema kikiwa kimewafukuza uanachama
Huyo Ndugai aliikandamiza katiba, aliminya uhuru ndani ya bunge pia
Leo hii wapinzani wote wanauunga mkono kwa kutoa ajenda ya kumpinga rais tena isiyo na mashiko kabisa...Lema, Zito, Sugu, Msigwa na wengine sio wa kumfurahia Jobo Ndugai
hakika wapinzani wa nchi hii bado sana
Aisee ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni hivyo ndivyo waswahili hunena!
Pia nachelea kusema hapa Tanzania tunaupinzani usiokuwa na hoja wala ajenda zao wenyewe, zaidi wao ni kuunga juhudi kitu chochote kinachompinga rais na serikali
Wote tunafahamu, katika siasa za bunge la nchi hii kwa kiwango kikubwa zimeharibiwa na speaker ndugai
Mtu aliyewaumiza upinzani hasa chadema ndani ya bunge ni huyu ndugai. Ndugai alimnyasa sana Tundu lisu, aliwafuta ubunge wabunge wa chadema, aliwafukuza nje ya bunge, aliwaambia kabisa hawatarudi baada ya 2020, aliwatusi familia zao na zaidi huyo Ndugai aliwahalarisha wabunge covid 19 huku chadema kikiwa kimewafukuza uanachama
Huyo Ndugai aliikandamiza katiba, aliminya uhuru ndani ya bunge pia
Leo hii wapinzani wote wanauunga mkono kwa kutoa ajenda ya kumpinga rais tena isiyo na mashiko kabisa...Lema, Zito, Sugu, Msigwa na wengine sio wa kumfurahia Jobo Ndugai
hakika wapinzani wa nchi hii bado sana