Ayusema
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 549
- 189
Habari wana MMU,
Kwa mara ya kwanza nimeona mchepuko kani save 'Asante' sijashangaa sana si unajua weekend bwana kaacha simu kaenda washroom nikambeep naona asante! Wewe wako amekusave vipi!? Hata sijui ana maana gani!? Ila muhuni muhuni tu!��
Kwa mara ya kwanza nimeona mchepuko kani save 'Asante' sijashangaa sana si unajua weekend bwana kaacha simu kaenda washroom nikambeep naona asante! Wewe wako amekusave vipi!? Hata sijui ana maana gani!? Ila muhuni muhuni tu!��