pisi jacky
Member
- Oct 21, 2020
- 32
- 141
- Thread starter
-
- #21
Read carefully before replying child.Kama ana hela na hizo sifa zote ulizotaja anazo. Vip unanishauri bado tusiowe.
Afu huu ujumbe umekaa kama jiwe la gizani. Inaonesha kuna boy kapost hilo gari na mhusika ka panick kuambiwa ukweli kaja maliza hasira huku
Ushauri wangu jifunze kuwa mke mwema na sio kutafuta mume mwenye hela utakuja nishukuru baadae
Ukaona uweke English waone ilikuwa makusudi siyo illiterate kuandika vile hahaaaThe boring ain't bout the handwriting,
It's the truth behind the handwriting that bores you.
Anyone reading and accepting what I've written won't complain it's boring.
By the way reading and commenting it's optional no one forces you to read
With love
Jacky.
Ukweli hua unakera sana I can feel youUkaona uweke English waone ilikuwa makusudi siyo illiterate kuandika vile hahaaa
Relax
Nasaa za pisiNini hiki?
Kichefu chefu. Just trying to be noticedNasaa za pisi
I graduated from what you wrote years ago...Ukweli hua unakera sana I can feel you
Anakwenda mbele anarudi nyuma, anasimama anakaa. Huu mwandiko kama wa Charles Mahera wa NEC!Very boring to read
Ukaona uweke English waone ilikuwa makusudi siyo illiterate kuandika vile hahaaa
Relax
pisi jacky,
Una hoja ya msingi, sema jitahidi bhana hapo kwenye "r" na "l"....
"Mala" badala ya "mara?! Hapana aisee!!
Maybe asili yako ndio mzizi wa tatizo but try harder!!
Inawezekana hufahamu, but trust me, it's boring!!
VPNNini hiki?
Hapa labda unajizungumzia weweUnatwanga maji kwenye kinu, wanapotongoza wako busy kwanza kujua ,'huyu dada anafanya wapi kazi? Mshahara wake shilling ngapi?
Hawanaga akili hawa, hawajui kiumbe mwenye mkono wa kutoa duniani ni mwanamke! Mwanamke ukimpenda kwa vitendo, hakuna shida utapata akae kimya, yupo tiyari kukopa kwa mama yake kisiri adanganye ila akupatie hela.
Mwanamke yupo kama hana hela yupo tiyari kukukopea kokote umalize shida yako. Yupo tiyari kukopea mshahara wake awe anakatwa kidogo.
Nawazaga wanaume wengine kama akili haziko kichwani ziko wap?
Nature is nature mwanaume always anatakiwa aheshimiwe na mwanamke apendwe utatetea sana but asili ya ndani hua haijifichwi and remember always respect is earned. tofauti na upendoNilipokuelewa ni pale tu si lazima uoe mwanamke mwenye kipato kikubwa...
Ila huku kwingine ni kumtia uoga mwanaume kwamba asipojisimamia atagongewa...
Nachojua Mimi ukioa malaya utagongewa tu km sio leo kesho,na ukioa mwanamke mwaminifu haitakaa itokee,Simpleeee.
Mtu anafanya like kilichopo moyoni mwake.Mfano mtu akiibiwa simu yake Kuna atakayefunga na kuomba Mungu amlipizie kisasi,Kuna atakaenda polisi na Kuna atakayeenda kumtia mtu busha.Wote wamefanya maamuzi tofauti ku solve ishu moja.
Washauri wasio vicheche
Sasa ndo tunakwambia wanawake sio wachoyo na huyo wakwako kama ni mchoyo wewe ndo sababuHapa labda unajizungumzia wewe
Sio wanawake tunaowajua sisi majority ni wachoyo wa asili
Elneny na Partey bila kumsahau gabriel hizi ndio nguzo zetuLeo Arsenal tunapasua mtu. Hizi timu ndogo Everton, Leeds & co kimefika kipindi cha kuonyesha their true colors.
Wale mnaofurika page ya IG ya Villa kutukana mjiandae.