Dunia imeisha:Babu amuoa mjukuu wake

Dunia imeisha:Babu amuoa mjukuu wake

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,109
Reaction score
8,066
Bunda; Mzee wa miaka 54 ashtakiwa kwa kumuoa mtoto wa miaka 8 kwa mahali ya shilingi 54,000/= tu.
Chazo: ITV news
 
Kaa utuletee habari kamili Dogo, haraka ya nini?
 
Mkuu nimeiona yaani Aibu.
Mtoto wa miaka 8,mzee kala buku hamsini kamuozesha.
Halafu yule mtoto akapewa somo wa kumshindika mtoto mwenzie wa Miaka 10.
Yaani Dunia imekwisha kweli
 
Babu huyo amfunguliwa mashtaka ya ubakaji na baba mzazi wa mtoto huyo amefunguliwa mashtaka mawili,
1.kumuoza mtoto mdogo chini ya umri wa miaka 18 na
2.kumkatisha masomo mtoto huyo masomo yake.
 
Kaa utuletee habari kamili Dogo, haraka ya nini?

Ni siku nyingi toka Mohammed Makongo alipotoa taarifa hii katika matukio. Leo alifikishwa ktk mahakama ya wilaya ya Bunda. Halafu mahari ni 55,000 sio 54,000 kama ulivyosema. Then, baada ya mali kutolewa alipewa mtoto mwingine wa darasa la 7 ambaye pia alimgeuza mke wake kwa nguvu. Huyo mzee ni wa kijiji cha bigegu huko porini kuvuka Ikizu hapa wilayani Bunda. Kesi itasikilizwa tena Desemba mwaka huu.
 
Last edited by a moderator:
Mbona umasaini hii kitu kawaida sana. Mnapopigishana kelele kama mmekunywa viroba wengine ndio maisha yao yalivyo wanaoa na kuozesha kila uchao. Binti akifika miaka 9 amepevuka tayari mengine ni subira yako tu na unavyojielewa wewe mwenyewe ukiacha kufuata mila na desturi za serikali na haki za binadamu.
 
Back
Top Bottom