Dunia hadaaaa

balibabambonahi

JF-Expert Member
Apr 5, 2015
15,694
14,204
Kama kusingekuwa na matatizi sijui tungejifunza kupitia ninu,nilikuwa naona maisha mazuuri had I tarehe 25 usiku yalipotokea matatizo ambayo kama so kujisahau yasingetokea kabisa.lakini sasa nimejifunza nitakuwa makiniiiii
 
Matatizo huwa hayaishi, limepita hilo litakuja lingine, suala hapo ni jinsi unavyoyatatua
 
Hahahah pole mkuu ukikaa sawa uje kutusimulia maswahibu yaliyoshikwaga gonga
 
Back
Top Bottom