maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,167
- 1,530
Wadau, msaada tafadhali,
Nilinunua Bata mzinga siku za nyuma. Kama wiki mbili zilizopita Bata jike alianza kutaga na kufikisha mayai 6. Baada ya muda nikakuta yamepungua 2.
Nikawa na wasiwasi kuwa dume anakula mayai. Nilichofanya nikatoa mayai yaliyokuwa yamebaki. Akitaga tu natoa yai nahifadhi.
Baadae nikahamisha dume nikamrudishia mayai joke ili aatamie. Hata hivyo hakuatamia. Jirani yangu anayefuga Bata mzinga akamiambia jana kuwa dume la bata mzinga haliwezi kula mayai.
Kwa hiyo Leo asubuhi nimemrudisha Bata mzinga dume akae na joke. Lakini Cha ajabu mchana huu amekula yai moja.
Msaada tafadhali Kwa anayejua dawa ya kutibu tatizo hili. Asanteni
Nilinunua Bata mzinga siku za nyuma. Kama wiki mbili zilizopita Bata jike alianza kutaga na kufikisha mayai 6. Baada ya muda nikakuta yamepungua 2.
Nikawa na wasiwasi kuwa dume anakula mayai. Nilichofanya nikatoa mayai yaliyokuwa yamebaki. Akitaga tu natoa yai nahifadhi.
Baadae nikahamisha dume nikamrudishia mayai joke ili aatamie. Hata hivyo hakuatamia. Jirani yangu anayefuga Bata mzinga akamiambia jana kuwa dume la bata mzinga haliwezi kula mayai.
Kwa hiyo Leo asubuhi nimemrudisha Bata mzinga dume akae na joke. Lakini Cha ajabu mchana huu amekula yai moja.
Msaada tafadhali Kwa anayejua dawa ya kutibu tatizo hili. Asanteni