Dume condom,

Dume condom,

Jamani naona aibu mnavyosema majina ya ndani kama hayo.
Halafu dume kinga sio nzuri kwanini mtu ameajiriwa mtu usinunue kondom za kisasa nzuri nasio bei 7000 kwa afya yako sio mbaya 5000 ×2 = 10 so acheni kujitesa mtakatwagwa madushe kisa ubahili .
😊😊😊
 
Kuna kondom siyo za kutumia.

Haikukubana? Maana hiyo na Salama stud zote zina mtindo wa kubana.
 
Jamani naona aibu mnavyosema majina ya ndani kama hayo.
Halafu dume kinga sio nzuri kwanini mtu ameajiriwa mtu usinunue kondom za kisasa nzuri nasio bei 7000 kwa afya yako sio mbaya 5000 ×2 = 10 so acheni kujitesa mtakatwagwa madushe kisa ubahili .
Tunasomesha,kwanza ujue,tunajenga na bado tunatunza na wazazi wetu hahaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema huwa napenda kavu kwa mtu ninayemwamini na nina mda mrefu naye.Ila huwa nazitumia hizo za bei ila niliona tu nibadilishe maana huwa sina upele fulani hivi ,ukijua kukuna mwanamke na hizo ndomu huwa mwanamke alia mwanzo wa gemu mpaka mwisho na miguu yote juuuu
Haya bahna na condom za bei hamtaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Wakuu naombeni kama nitawakwanza maana upande wa pili huwa hawapendi kutumia kinga ila siyo wanawake ila upande wa pili,

Ni siku mbili toka nitumie hii kinga maana shemeji yenu alikuwa kwenye hatari ( najua wakubwa mnajua)

Sasa toka nitumie hii kinga yaani nawashwa dudu balaaa,fangasi sina.

Ila tatizo ni kuwashwa tu alafu najikuna balaa, nimejaribu kuangalia expire date ni February

Au ni gono tayari maana najua kuna magonjwa ya gono hata ukivaa kinga huwezi kulikwepa,alafu ni mwanamke ambaye nina matarajio naye,

Sasa nimepanga kufanya vitu vitatu,

1.naenda kucheki gono au kufanya culture nikipatikana na tatizo huyu mchumba kwa heei

2.Kama ni fangasi nitatibu

3.kama hamna tatizo naenda kuwashtaki hii kampuni.

Wakuu poleni kama nitawakwaza ila pia wapo kama mimi labda wanatumia dume condom,vipi na nyie hii hali inawapata?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Nime notice kitu hebu jaribu kubadilisha hio tecno yako uwe walau na samsang au huawei alaf uone kama tatizo litajirudia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu,

Wakuu naombeni kama nitawakwanza maana upande wa pili huwa hawapendi kutumia kinga ila siyo wanawake ila upande wa pili,

Ni siku mbili toka nitumie hii kinga maana shemeji yenu alikuwa kwenye hatari ( najua wakubwa mnajua)

Sasa toka nitumie hii kinga yaani nawashwa dudu balaaa,fangasi sina.

Ila tatizo ni kuwashwa tu alafu najikuna balaa, nimejaribu kuangalia expire date ni February

Au ni gono tayari maana najua kuna magonjwa ya gono hata ukivaa kinga huwezi kulikwepa,alafu ni mwanamke ambaye nina matarajio naye,

Sasa nimepanga kufanya vitu vitatu,

1.naenda kucheki gono au kufanya culture nikipatikana na tatizo huyu mchumba kwa heei

2.Kama ni fangasi nitatibu

3.kama hamna tatizo naenda kuwashtaki hii kampuni.

Wakuu poleni kama nitawakwaza ila pia wapo kama mimi labda wanatumia dume condom,vipi na nyie hii hali inawapata?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Ni kawaida kondomu kusababisha muwasho. Sijui zina nini hata

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom