Dume condom,

Dume condom,

J putin

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2018
Posts
1,263
Reaction score
1,208
Habari wakuu,

Wakuu naombeni kama nitawakwanza maana upande wa pili huwa hawapendi kutumia kinga ila siyo wanawake ila upande wa pili,

Ni siku mbili toka nitumie hii kinga maana shemeji yenu alikuwa kwenye hatari ( najua wakubwa mnajua)

Sasa toka nitumie hii kinga yaani nawashwa dudu balaaa,fangasi sina.

Ila tatizo ni kuwashwa tu alafu najikuna balaa, nimejaribu kuangalia expire date ni February

Au ni gono tayari maana najua kuna magonjwa ya gono hata ukivaa kinga huwezi kulikwepa,alafu ni mwanamke ambaye nina matarajio naye,

Sasa nimepanga kufanya vitu vitatu,

1.naenda kucheki gono au kufanya culture nikipatikana na tatizo huyu mchumba kwa heei

2.Kama ni fangasi nitatibu

3.kama hamna tatizo naenda kuwashtaki hii kampuni.

Wakuu poleni kama nitawakwaza ila pia wapo kama mimi labda wanatumia dume condom,vipi na nyie hii hali inawapata?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Condom kumuwasha mwanaume, sina hakika. Nnachojua wanawake ndiyo huwa zinawawasha.
Ila kwakuwa zina expire february na leo ni december huenda zilisha expire, maaana maduka mengi hali ya hewa si nzuri joto liko juu sana. Huenda zilisha chacha.
Ngoja watumiaji wa dume waje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Condom kumuwasha mwanaume, sina hakika. Nnachojua wanawake ndiyo huwa zinawawasha.
Ila kwakuwa zina expire february na leo ni december huenda zilisha expire, maaana maduka mengi hali ya hewa si nzuri joto liko juu sana. Huenda zilisha chacha.
Ngoja watumiaji wa dume waje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata mimi nafikiria hivyo,ila ngoja niende nikafanye tu kwanza vipimo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwai tumia dume daah sitokuja jaribu tena bora nipige kavu tuu ..nilitoka na jipele kubwa ilo daah sio powah
 
Habari wakuu,

Wakuu naombeni kama nitawakwanza maana upande wa pili huwa hawapendi kutumia kinga ila siyo wanawake ila upande wa pili,

Ni siku mbili toka nitumie hii kinga maana shemeji yenu alikuwa kwenye hatari ( najua wakubwa mnajua)

Sasa toka nitumie hii kinga yaani nawashwa dudu balaaa,fangasi sina.

Ila tatizo ni kuwashwa tu alafu najikuna balaa, nimejaribu kuangalia expire date ni February

Au ni gono tayari maana najua kuna magonjwa ya gono hata ukivaa kinga huwezi kulikwepa,alafu ni mwanamke ambaye nina matarajio naye,

Sasa nimepanga kufanya vitu vitatu,

1.naenda kucheki gono au kufanya culture nikipatikana na tatizo huyu mchumba kwa heei

2.Kama ni fangasi nitatibu

3.kama hamna tatizo naenda kuwashtaki hii kampuni.

Wakuu poleni kama nitawakwaza ila pia wapo kama mimi labda wanatumia dume condom,vipi na nyie hii hali inawapata?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Sawa nenda hospital mkuu ila sidhani kama utapimwa Urine culture km hawajapata tatizo kwenye Urine Analysis!

Labda una U.T.I

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata mimi nimeanza kuona vipele kwenye dudu hasa kwenye mapumbu ila yanawasha balaaaaa,

Maana nimeanza kuhisi fangasi pia
Niliwai tumia dume daah sitokuja jaribu tena bora nipige kavu tuu ..nilitoka na jipele kubwa ilo daah sio powah

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Jamani naona aibu mnavyosema majina ya ndani kama hayo.
Halafu dume kinga sio nzuri kwanini mtu ameajiriwa mtu usinunue kondom za kisasa nzuri nasio bei 7000 kwa afya yako sio mbaya 5000 ×2 = 10 so acheni kujitesa mtakatwagwa madushe kisa ubahili .
 
Habari wakuu,

Wakuu naombeni kama nitawakwanza maana upande wa pili huwa hawapendi kutumia kinga ila siyo wanawake ila upande wa pili,

Ni siku mbili toka nitumie hii kinga maana shemeji yenu alikuwa kwenye hatari ( najua wakubwa mnajua)

Sasa toka nitumie hii kinga yaani nawashwa dudu balaaa,fangasi sina.

Ila tatizo ni kuwashwa tu alafu najikuna balaa, nimejaribu kuangalia expire date ni February

Au ni gono tayari maana najua kuna magonjwa ya gono hata ukivaa kinga huwezi kulikwepa,alafu ni mwanamke ambaye nina matarajio naye,

Sasa nimepanga kufanya vitu vitatu,

1.naenda kucheki gono au kufanya culture nikipatikana na tatizo huyu mchumba kwa heei

2.Kama ni fangasi nitatibu

3.kama hamna tatizo naenda kuwashtaki hii kampuni.

Wakuu poleni kama nitawakwaza ila pia wapo kama mimi labda wanatumia dume condom,vipi na nyie hii hali inawapata?

Sent from my TECNO F3 using JamiiForum mobile app
Kaoge huo muwasho utaisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom