Wimbo biti linafanana na baadhi ya nyimbo zake za nyuma.. naungana na mkuu aliesema sasa ifike wakati wabongo waache kufanya kaz zote, kutunga, kuimba, kuproduce vyote mtu mmoja
Kachanganya radha kiganda hicho iyo kolasi ni ya ngoma ya Jose chameleon ktambo sana na ilikuwa hit song cc watu wa Mtukula kwenye border ya Uganda tunajua sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.