DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Baada ya Haji Manara kutangaza nia ya kutaka kuwa Diwani Kariakoo na kuchukua Fomu kupitia chama cha Mapinduzi CCM
Dulla Makabila, amemua kutoa ya moyoni kuhusu maamuzi hayo ya Haji Manara
“Kama pale tu ulikuwa hauna mamlaka yeyote na ukaninyoosha ndugu yangu safari hii ntasikia tu dullamakabila tafuta kituo chochote kilichopo karibu na wewe 😂😂😂😂
Kila lakheri kaka angu hajismanara kariakoo inakwemda kupata maendeleo kupitia kiongozi mwenye weredi mkubwa kupitia chama cha mapinduzi CCM na uzuri nna studio nyumbani kwangu acha nianze kukuandalia nyimbo zako za kampeni mapema sitaki ugomvi na viongozi.
Dulla Makabila, amemua kutoa ya moyoni kuhusu maamuzi hayo ya Haji Manara
“Kama pale tu ulikuwa hauna mamlaka yeyote na ukaninyoosha ndugu yangu safari hii ntasikia tu dullamakabila tafuta kituo chochote kilichopo karibu na wewe 😂😂😂😂
Kila lakheri kaka angu hajismanara kariakoo inakwemda kupata maendeleo kupitia kiongozi mwenye weredi mkubwa kupitia chama cha mapinduzi CCM na uzuri nna studio nyumbani kwangu acha nianze kukuandalia nyimbo zako za kampeni mapema sitaki ugomvi na viongozi.