Wakuu habari,,nataka kufungua duka la vinywaji hasa vileo kwa bei ya rejareja maeneo ya Tabata ila bei zangu nataka ziwe za chini kama kwenye super markets vile,,kama Wine, Whisky, Beer shampagne na soft drinks zingine,,,naomba kujua jinsi na wapi napata super supplier's wa hivi
1) Beer za safari, Serengeti, castle lite na laga,na zingine za chupa na kopo take away
2) wine na whiskey
3)soda za Pepsi na koka kola za take away
4) juice zote za box na chupa
Nashukuru nikijibiwa kwa kupatiwa direction za eneo au namba za simu
1) Beer za safari, Serengeti, castle lite na laga,na zingine za chupa na kopo take away
2) wine na whiskey
3)soda za Pepsi na koka kola za take away
4) juice zote za box na chupa
Nashukuru nikijibiwa kwa kupatiwa direction za eneo au namba za simu