sonaderm
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 618
- 1,816
Nashukuru sana mkuu. Endelea kutufumbua macho hata kwa makadirio ya mzigo wa kuanzia unaweza kugharimu shilingi ngapi na hata whole sellers ambao wana bei nzuri na dawa nzuri.
Kama unaanza biashara,ni vyema kuwa na varieties ya items au dawa!ni muhimu uwe na kila aina ya dawa japo kwa uchache au small quantities!hii itakurahisishia kupunguza hasara hasa kwa zile dawa ambazo hazitatoka na zenye short expiry dates!
List ya wholesalers,importers au distributors kwa TZ ni ndefu na kila mmoja ana advantage yake!cha msingi ni kuhakikisha unafanya ka utafiti kadogo ka kupeleleza supplier mzuri kwenye registered medicines na price.Muhimu ni kuandaa item list ya dawa unazotaka kuanza nazo na kuzunguka kwa hao suppliers wakupe bei zao baada ya hapo utaweza kuwa na uamuzi sahii wa kuchagua!kiwango cha kuanzia kwenye mzigo inategemea pia na item list yako ni kubwa kiasi gani lakini kama famasi yako ni ya nje ya mji 10M inaweza kutosha kwa kuanzia kwenye dawa pekee...kumbuka varieties ni muhimu!