DOKEZO Duka la dawa haipaswi kuwa sehemu ya kupoteza muda kabisa au watu wasio wateja kujikalia kiholela

DOKEZO Duka la dawa haipaswi kuwa sehemu ya kupoteza muda kabisa au watu wasio wateja kujikalia kiholela

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,302
Kwa ujumla na kiuhalisia, baadhi ya Wabongo ni watu wanaofanya mambo kwa taratibu na kujivuta. Hata hivyo, kwenye duka la dawa (pharmacy) ni eneo ambalo mtu anapaswa kujitahidi kufanya mambo kwa haraka ili kuwapa nafasi wengine nao wapatiwe huduma kwa faragha.

Jambo lingine la hovyo kwenye biashara ya pharmacy ni watu wasiokuwa wateja kukaa kiholela kaunta na mashosti, majirani zao wa biashara au ndugu zao wakipiga stori, huku wakisikiliza na kukodolea macho wateja wanaoongea na kutaka kupata huduma.
 
Naunga mkono hoja nitabia ya kijinga sana , mtu kupiga stories kwenye pharmacy, hii ipo sana kwa wadada unamuweka mtu anageuza biashara yako kijiwe cha umbea
Kuna namna fulani sehemu kubwa ya biashara ya pharmacy mtaani bongo inakosa weledi na ustaarabu wa msingi kabisa.
 
Back
Top Bottom