Njoo kwangu 280 000Wadau nahitaji simu aina ya Samsung A20c naomba kujua bei yake kwa hapa Arusha na ni duka lipi linauza hizi simu org
Nenda hapo Stand kubwa kuna duka linaangaliana na hayo mataa hapo, wanazo OGWadau nahitaji simu aina ya Samsung A20c naomba kujua bei yake kwa hapa Arusha na ni duka lipi linauza hizi simu org
Kwani we umejipangajeBenson si ghali sana pale mkuu?
Kwa Benson chenga tupu juzi nimeenda kununua simu pale bei ni zaidi ya 50k ukicompare na wauzaji wengine ambao ni Samsung authorized dealer .Pia guarantee ni sawa 24 months. Ebu jaribu kwa muhindi fulani duka lipo karibu na jengo la Ngorongoro kama unashuka kuelekea kanisa la KKKTBenson
Ahsante mkuuKwa Benson chenga tupu juzi nimeenda kununua simu pale bei ni zaidi ya 50k ukicompare na wauzaji wengine ambao ni Samsung authorized dealer .Pia guarantee ni sawa 24 months. Ebu jaribu kwa muhindi fulani duka lipo karibu na jengo la Ngorongoro kama unashuka kuelekea kanisa la KKKT
Kwani we umejipangaje
The higher the price, the higher the quality