Mimi nipo hapa mkuu najiandaa kuja kazini .nilijikuta
nimeshikwa na tumbo la ghafla la kuha.....ra.
Mkuu nipo salama ila tumboni nahisi kama cheche zinawaka.
Nimeshauriwa nile Amila kijiko kikubwa kimoja na chai ya Iriki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.