Duh..wanawake hawa pasua kichwa....ebu chech hili

Duh..wanawake hawa pasua kichwa....ebu chech hili

vima

Member
Joined
Sep 12, 2013
Posts
8
Reaction score
2
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​
 
Edit basi uzi wako kidogo ili tuelewane
 
Unajua kwanin huyo binti hapokei simu? Na kwanin alikupiga mzinga wa 20k??

Yani ni kutokana na ID yako unayotumia! Si unajua hizi Id unaweza kumtambua mtu kwa kiasi flan! Na ukijumlisha ulicho andika hapa yan true love within 2 month! Unless ungesema zile za kizushi za true love on first site ambazo zinatumiwa na wakware na vicheche macelebs!
 
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​
Ushauri wangu,tafuta hiyo buku 20 mtumie,...(ukishakuwa mkubwa utaelewa).
 
Unajua kwanin huyo binti hapokei simu? Na kwanin alikupiga mzinga wa 20k??

Yani ni kutokana na ID yako unayotumia! Si unajua hizi Id unaweza kumtambua mtu kwa kiasi flan! Na ukijumlisha ulicho andika hapa yan true love within 2 month! Unless ungesema zile za kizushi za true love on first site ambazo zinatumiwa na wakware na vicheche macelebs!

Unaweza kugundua true love kwa miezi miwili it depend the way unavyo m treat
 
Kiongozi unaomba ushauri sababu ya kuombwa 20,000 na mpenzi wako? sasa ulitaka akamuombe nani na wewe ndio unasema mlikuwa wapenzi, mpe bana. Kama huna ungemtafutia hata 10 au 15 aisee, sasa yeye afanyeje kama anashida na mpenzi anae? Acha hizo bana. Ila pia sijaelewa kitu kimoja, ulimnyima sababu ulikuwa huna au sababu alikuomba ndani ya miezi 2 tangu muanze kuwa wapenzi?
 
Kiongozi unaomba ushauri sababu ya kuombwa 20,000 na mpenzi wako? sasa ulitaka akamuombe nani na wewe ndio unasema mlikuwa wapenzi, mpe bana. Kama huna ungemtafutia hata 10 au 15 aisee, sasa yeye afanyeje kama anashida na mpenzi anae? Acha hizo bana. Ila pia sijaelewa kitu kimoja, ulimnyima sababu ulikuwa huna au sababu alikuomba ndani ya miezi 2 tangu muanze kuwa wapenzi?
Nilikuwa sina but kashidwa kunielewa kabisa
 
mtumie massage ukimwambia aje achukue hiyo 20,000 uone atakvyokuja anakimbia peku peku bila viatu !!!!!
 
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​
Sku hizi hayo ya sana "kizazi kipya" Mbona yamenitokea BigBoy aliniomba laki5 eti kumpa laki3 akasepa hajibu cm carefree.. nami kawaida so what...! wapo kimasilahi
 
Kuna binti furani nilikutanae miezi miwili iliyopita ni nilimpenda sana na tukapeana ahadi nying. Chakushangaz Juzi kaniomba sh 20,000/= Nikamwambia kwa sasa hyo pesa sina mmmh kumwambia hivyo tu ndo kanuna mpaka leo anitafuti,nampigia simu yake sometme anapokea or hapokei.....jaman hpo kuna TRUE love kweli......give me USHAURI ​

Ninakushauri ; Akikuomba 20000/= wewe mpe 50000/= uone kama hatakupigia mara 24 kila siku
 
ndio ipo we mpe hiyo pesa uone! MOYO WA MWANAMKE HULAINISHWA KWA PESA na sio maneno especially future tense eti ipo siku nitapata! AKIKI KUMKICHWA.
 
Unajua kwanin huyo binti hapokei simu? Na kwanin alikupiga mzinga wa 20k??

Yani ni kutokana na ID yako unayotumia! Si unajua hizi Id unaweza kumtambua mtu kwa kiasi flan! Na ukijumlisha ulicho andika hapa yan true love within 2 month! Unless ungesema zile za kizushi za true love on first site ambazo zinatumiwa na wakware na vicheche macelebs!

HAHAA! KWAHYO MKUU ID YA huyu ndugu inaashiria nini? V.I.M.A
 

yani kumpa tweny mwenzio
unahisi anakuchuna?mapenzi yapo
ila huenda alikua na shida na si mwanamke wa kupenda
pesa coz elfu ishirini sio ishu!!punguza mkono wa birika!!
 
kitu cha kawaida sana c umpe hiyo 20000/ =,,,, tatizo lenu mkiombwa hela eti mnachunwa???! mahitaji yake ampe nani???! afu ukijua ana bwana mwingine fasta kuleta uzi wakati matumizi hutoi khaaaaa!!!!!
 
mi sipendi sana sikuizi hawa viumbe wanatutumia sana hapo alikuwa hajarud kwako ila alikuwa na shida ya hela asa akasema ntamuingiliaje huyu mtu basi ndo akaamua ajifanye mmerudiane ili iwe rahisi kukupata asa na we ulivyokuwa hujampa ndo mana mmeachana hamna mapenzi hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom