Duh, Vikoba vinakondesha Jamani.

Duh, Vikoba vinakondesha Jamani.

najitolea kukufundisha bure elimu ya biashara na mambo unayotakiwa kufanya,nipm kama uko tayari darasa lianze
Mungu wangu Akubariki kila Unapoingia na Kutoka iwe Baraka! Sema Amen!
 
Yaani si mchezo kama hujaanza acha kabisa hii kitu, mmesikia dada zangu
mimi sirudii tena.

duh,"Viroba" noma,
vinakondesha!
yaani si mchezo,kama hujaanza acha kabisa hii kitu.
nimesikia kwa kaka zangu.
mimi sirudii tena.
 
kule jukwaa la biashara watu wanasifia VIVOBA huku mnakandia,mkuu mleta mada ungeandika madhara yake ila watu wajifunze kutoka kwako kuliko hivi mnaandika kiuvivu
 
Back
Top Bottom