fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,764
- 7,502
- Thread starter
-
- #21
Mimi nina wake 2,mmoja ni mtanzania na mwingine sio mtanzania.Watoto ni wengi maana nimezaa na hawa wake zangu,lakini pia nilizaa na wanawake wengi,nje na ndani ya nchi,mfano nilizaa mtoto wa kike Nigeria.Kukupa hesabu kamili ni ngumuUna watoto wa ngapi ???
Na umezaa kutoka kwa wanawake wangapi?
Kuna jambo nataka kujifunza.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Hata mie nimekujibu kiusalamasalama sio vita mkuu
Tayari huna faida kwenye familiaNi usiku mida ya saa 2 usiku,namsikia mke wangu akimwambia mdada wa kazi fungua geti,akaenda kufungua,gari nyeupe ikaaingia.Sikuwa najua ni kina nani,ghafla naona watoto 2 mmoja wa kike na mmoja wakiume wanashuka kwenye gari,acha nishangae.Hamad,ni watoto wa binti yangu,na mama yao na mumewe wanashuka.Nilishangaa vipi bila taarifa!.
Huyo ni binti yangu ambae nilimzaa na mke wangu wa 2 ambae sio mtanzania,kaja na mumewe ambae ni Mmarekani mwenye asili ya india kama akina kash patel.Huyo mwanangu wa kike ndiye mwenyekiti wa umoja wa watoto wangu.Jambo la kufurahisha ni kwamba anakijua kiswahili.Sijui ni kipi kimemleta ghafla hii,pengine kesho ntajua
Naenda 65 sasa na nina afya njema namshukuru Mungu sana,na sina ugomvi na mtu yoyote na hata wanawake niliozaa nao ambao sikuwaoa,hao watoto niliwakabidhi kwa wanangu na wao pia wameunganishwa kwenye umoja wa watoto wangu nao wanatoa michango kama kawaidaKwa msio mfahamu huyu ni mtu mzima sana na kajaaliwa watoto wengi..Kaishi maisha ya aina nyingi.
Soma vizuri maandiko yangu utajua,ukiyadandia katikati ni lazima utakuja na fikra kama hiziTayari huna faida kwenye familia
Mke wako ndo mkuu wa familia na ana taarifa zote
Sawa mkweHata mie nimekujibu kiusalama
😄Dah shule zifunguliwe tu aiseee,
Ili watoto muende shule,Ili?
Shule zimefungwa mzee,Utoto ni raha sana
Hii hali inastua sana, imewahi kuni kuta, siku house girl wangu alifungua geti akakuta mbwa wawili, mmoja alikufa miaka miwili ilopita, mwingine alikua wangu lakini bado sijamnunua, walikua na watoto watatu wa pake, na mumewe alikua na shingo nene.Ni usiku mida ya saa 2 usiku,namsikia mke wangu akimwambia mdada wa kazi fungua geti,akaenda kufungua,gari nyeupe ikaaingia.Sikuwa najua ni kina nani,ghafla naona watoto 2 mmoja wa kike na mmoja wakiume wanashuka kwenye gari,acha nishangae.Hamad,ni watoto wa binti yangu,na mama yao na mumewe wanashuka.Nilishangaa vipi bila taarifa!.
Huyo ni binti yangu ambae nilimzaa na mke wangu wa 2 ambae sio mtanzania,kaja na mumewe ambae ni Mmarekani mwenye asili ya india kama akina kash patel.Huyo mwanangu wa kike ndiye mwenyekiti wa umoja wa watoto wangu.Jambo la kufurahisha ni kwamba anakijua kiswahili.Sijui ni kipi kimemleta ghafla hii,pengine kesho ntajua
Mke gani, mleta mada bado hata hajamaliza kubarehe, atamzalisha nani sasa? Analeta UF huku, nashangaa wewe unatema nyongo kwa utopolo kama huu na unajiita Extra focus. Hii butwaa siwezi eleza hali yakeTayari huna faida kwenye familia
Mke wako ndo mkuu wa familia na ana taarifa zote
ChaiNi usiku mida ya saa 2 usiku,namsikia mke wangu akimwambia mdada wa kazi fungua geti,akaenda kufungua,gari nyeupe ikaaingia.Sikuwa najua ni kina nani,ghafla naona watoto 2 mmoja wa kike na mmoja wakiume wanashuka kwenye gari,acha nishangae.Hamad,ni watoto wa binti yangu,na mama yao na mumewe wanashuka.Nilishangaa vipi bila taarifa!.
Huyo ni binti yangu ambae nilimzaa na mke wangu wa 2 ambae sio mtanzania,kaja na mumewe ambae ni Mmarekani mwenye asili ya india kama akina kash patel.Huyo mwanangu wa kike ndiye mwenyekiti wa umoja wa watoto wangu.Jambo la kufurahisha ni kwamba anakijua kiswahili.Sijui ni kipi kimemleta ghafla hii,pengine kesho ntajua
Hivi mara ya mwisho ulijamba lini,maana uliniambia tumbo limejaa mavi ya nyama za mafungu!Mke gani, mleta mada bado hata hajamaliza kubarehe, atamzalisha nani sasa? Analeta UF huku, nashangaa wewe unatema nyongo kwa utopolo kama huu na unajiita Extra focus. Hii butwaa siwezi eleza hali yake
Hii imezidi kwenye chai. Hii ni gongo. Inatakiwa huyu mwehu akamatwe ashtakiwe na ahukumiwe kunyongwa. Kuna watu wazima wanakuja kubwata hapa kumble mleta mada anazngua tu.. Hua napita kwa nyuzi zake nikisoma comments za watu wanavotema nyongo nabaki nacheka tuChai
Asante kwa kuja kuthibitisha kauli yangu. Mtu alokamilika na akataka jamii imtambue kama MWANAUME, hawezi andika chapisho kama hilo. Hata kama anatumia account fake.Hivi mara ya mwisho ulijamba lini,maana uliniambia tumbo limejaa mavi ya nyama za mafungu!
upofu sio kukosa macho tuAsante kwa kuja kuthibitisha kauli yangu. Mtu alokamilika na akataka jamii imtambue kama MWANAUME, hawezi andika chapisho kama hilo. Hata kama anatumia account fake.
Iko hivi, haijalishi unaezungumza nae anakufaham au hakufaham, kile unachokitoa kimetoka kwenye ubongo wako, tunauhakika ulikifikiria kabla hakijakutoka.
Masomo ya kisaikolojia yanasema "kile anachokisema mtu mara ya kwanza punde baada ya kufurahi, kushtushwa, kukasirishwa, kuogopesha na hisia nyingine kama hizo, basi hiko kitu ndo hua kichwani mwake muda mwingi". So kwa kifupi kilichoujaza ubongo wako ni mambo yanayousika na mwishoni mwa mfumo wako wa chakula (alimentary canal)..
Jifunze ukipanic usiwe unatoa maneno machafu. Sababu kubwa moja inayofanya WANAUME tuwe WANAUME ni utulivu wa kihisia.
Nakutakia barehe njema