fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,675
- 7,307
Ni usiku mida ya saa 2 usiku,namsikia mke wangu akimwambia mdada wa kazi fungua geti,akaenda kufungua,gari nyeupe ikaaingia.Sikuwa najua ni kina nani,ghafla naona watoto 2 mmoja wa kike na mmoja wakiume wanashuka kwenye gari,acha nishangae.Hamad,ni watoto wa binti yangu,na mama yao na mumewe wanashuka.Nilishangaa vipi bila taarifa!.
Huyo ni binti yangu ambae nilimzaa na mke wangu wa 2 ambae sio mtanzania,kaja na mumewe ambae ni Mmarekani mwenye asili ya india kama akina kash patel.Huyo mwanangu wa kike ndiye mwenyekiti wa umoja wa watoto wangu.Jambo la kufurahisha ni kwamba anakijua kiswahili.Sijui ni kipi kimemleta ghafla hii,pengine kesho ntajua
Huyo ni binti yangu ambae nilimzaa na mke wangu wa 2 ambae sio mtanzania,kaja na mumewe ambae ni Mmarekani mwenye asili ya india kama akina kash patel.Huyo mwanangu wa kike ndiye mwenyekiti wa umoja wa watoto wangu.Jambo la kufurahisha ni kwamba anakijua kiswahili.Sijui ni kipi kimemleta ghafla hii,pengine kesho ntajua