Kisaka80
Senior Member
- Feb 4, 2012
- 151
- 94
Mhmh wewe acha kutuzingua bana.....huyo mchumba uliekuwa nae si yule mmasai wako uliyemsifia anakukuna vizuri....Toka ujiunge humu Jf January 2011 unajisifia tu una mchumba una mchumba...ni uchumba gani mnakaaa miaka 3 au 5? wakati mtu umri wako umeshakwenda saa 12 jioni huko!
Wewe gawa tu huo mzigo kwa kila mtu maana inaonekana ndio kawaida yako...na kwa jinsi ninavyokuona siku hizi hapa ofisini mhmhm umekuwa hutuliii kabisaa kujishaua shaua....kumbe huyu jamaa ndio anakuzingua...ok ngoja nimwelekeze namna ya kukupata kiurahisi maana si unajua kuwa mimi nazijua weakness zako!
wait you will see its impact soon baada ya jamaa kula mzigo...!
Wewe gawa tu huo mzigo kwa kila mtu maana inaonekana ndio kawaida yako...na kwa jinsi ninavyokuona siku hizi hapa ofisini mhmhm umekuwa hutuliii kabisaa kujishaua shaua....kumbe huyu jamaa ndio anakuzingua...ok ngoja nimwelekeze namna ya kukupata kiurahisi maana si unajua kuwa mimi nazijua weakness zako!
wait you will see its impact soon baada ya jamaa kula mzigo...!