Travis samwel
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 215
- 42
Habar wadu,
Npo kwenye bas nasafiri, nyuma yang wamekaaaa mtu na mpenz wake mara simu inapigwa kweny simu ya mwanamke na mwanaume anachukua cm ya mwanamke na kuipokea, hallow ww nan?
Upand wa pili unanijib naomba kuongea na mweny simu, jamaaaa akajib mm ndo mwnyw simu niambie ww ni nan? Jamaaaa upande wa pili kuona mwanaume anamjib kiukali akaamua kujib, sorry nime wrong number.
Acha jamaa aanze kumtukana mshikaj, abiria tukashikwa na mshangao kusikia matus ya nguon yanazid!!! Baada ya matus jamaa anamgeukia mwanamke na kumuulza, unamfaham huyu mtu?
Mwanamke anajibu, hapana simfaham kabisa Bdo ugomvi unaendelea hapa wa chinchini
Tafadhal usijipe pressure kwa kupokea simu ya mkeo au mumeo
Npo kwenye bas nasafiri, nyuma yang wamekaaaa mtu na mpenz wake mara simu inapigwa kweny simu ya mwanamke na mwanaume anachukua cm ya mwanamke na kuipokea, hallow ww nan?
Upand wa pili unanijib naomba kuongea na mweny simu, jamaaaa akajib mm ndo mwnyw simu niambie ww ni nan? Jamaaaa upande wa pili kuona mwanaume anamjib kiukali akaamua kujib, sorry nime wrong number.
Acha jamaa aanze kumtukana mshikaj, abiria tukashikwa na mshangao kusikia matus ya nguon yanazid!!! Baada ya matus jamaa anamgeukia mwanamke na kumuulza, unamfaham huyu mtu?
Mwanamke anajibu, hapana simfaham kabisa Bdo ugomvi unaendelea hapa wa chinchini
Tafadhal usijipe pressure kwa kupokea simu ya mkeo au mumeo