Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,753
ha haaa, kuna siku kuna mdada alining'ang'ania tangu alfajiri mpaka usiku kuwa nipo na mumewe na napokea simu ya mumewe, hataki kabisa kuamini kuwa ni wrong number. Kilichoniokoa ni usiku baada ya mume kurudi home katukanwa na mkewe na ndipo akamwuliza kwani anapiga namba gani? kuangalia, kumbe kakosea namba moja.........ukute ni kweli wrong number. sema ni kutoaminiana tu.
Mume ikabidi anicall kuniomba msamaha, mke kachuna mpaka leo........ kuna watu ni majanga