Duh! Hizi simu jamani

Duh! Hizi simu jamani

Kuna wanaume hawafai kabisa kuitwa Wanaume ......!!!!!!!!!

Nakuunga mkono mkuu! Lakini ipo kote kote!

Simu haziko kwa ajili ya wapenzi wetu tu! Ingekuwa hivyo basi ingekuwa balaa
 
Huyo mwanamke anaelekea anamwogopa sana mpenziwe, na kama isingekuwa kwenye gari kichapo ndicho kingefuata.
 
mi nahisi watamwagana muda si mrefu sababu jamaa hajiamini. anaanzaje kupkea simu ya 'mpenzi wake'? Bila sababu maalumu? na yupo hapo hapo? Ubabe wa kizamani...kumuwin mwanamke sio ivo....bora jamaa alivong'ang'ania kuongea na mwenye Mbwa na sio Mbwa mwenyewe....
 
Kama ambavyo huyo mwanaume
haimuhusu kupokea simu zipigwazo kwa kilongalonga cha mpenziwe, ndivyo
ambavyo nawe mleta mada haikuhusu kuleta umbea wa habari za watu
ulizoshuhudia huko ulipokuwa.

ha!ha!haa!ah!ndugu we unanchekeshaga kwel mashushu yako eh!
 
Unapokea simu ya mpenzi wako kwa nini? Labda kama mmekubaliana iwe hivyo au kakupa upokee.
 
Inakera sana simu isiyokuhusu unapokea ya nini? wanaume wengi japo sio wote wana tabia hii.
 
huko ni kutokuaminiana na mwanaume kutojiamini, kama unaweza kupokea simu ya mwenzako basi be strong enough to hear anything on his/her behalf!
 
ha!ha!haa!ah!ndugu we unanchekeshaga kwel mashushu yako eh!

Ndio ukweli mkuu, jamaa kakazana kumkosoa mwenzake wakati naye anafanya kosa lenye uzito kama huo...
 
kuna wanaume hawafai kabisa kuitwa wanaume ......!!!!!!!!!
last week nilipanda daladala moja nyuma kabisa nikakaa na mtu na mpenzi wake wakawa wanaongea sana ila katika utambuzi wangu nikaelewa tu yule ni mwanaume zoba maana yule mwanamke alikuwa anaongea kwa sauti bila hata staha! Katika maongezi yao wakatoofautiana yule jamaa akamwambia ukijaribu kufanya hilo jambo utanitambua ,yule bint akamwambia ukijaribu kunipiga ntakulamba mabao watu wooote daladala kumbe walikuwa wanakula chabo khe mambo ikamgeukia akamllamba kweli yule mwanamme mie wacha nicheke watu wakabaki wanashangaa na kusema hamna mwanaume hapo jamaa kwa aibu akajishukia na alikuwa anakwenda kongowe kwiwkiwkiwkwwiwkwi
 
Mwenye mke hakujiongeza?
Lakini hawa wazee wa wrong no nao mbona hawakoseagi wakatuma hapa mkwanjaa!
 
Back
Top Bottom