Bakia kwenye mada! Usigeuze kibao!Wakenya hakuna nchi inayowanyima usingizi duniani kama Tanzania yaani wanateseka nayo kweli
unataka kusemajeBakia kwenye mada! Usigeuze kibao!
Umenielewaje wewe?unataka kusemaje
Tatizo mnapenda majigambo na kuwasahau ndugu zenu wengi wanavyoteseka.
noamba ile nyimbo ya Hell on Earth by Mob Deep.
noamba ile nyimbo ya Hell on Earth by Mob Deep.
Pumzika kwa AmaniUmenielewaje wewe?
This one must be a district of hell.noamba ile nyimbo ya Hell on Earth by Mob Deep.
Taaboo toopoo Maria MlengwaHiyo tabu ni ya muda tu soon watapiga dili nyingine na watajenga hapo hapo kinondoni
We mkenya niamini mimi yatakwisha