Duh! Hii video inatia huruma, kuna Watanzania wanaishi maisha ya tabu sana, mbona hivi kwa kweli

Aisee nimeona video ya kibera kwenye runinga ya K24 kuna uchochole/umaskini wa hali ya juu yani watu wanasubiri vitu vilivooza na kutupwa sokoni nao wanaokota kwenda kuuza tena duh
Umaskini upo kila sehemu
 
Back
Top Bottom