Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Jamaa kamaind demu bar!
Demu kaenda uani na jamaa kamfuata na kukaa mlangoni akimsubiri msalani
Demu katoka na kukuta jamaa amesimama hapo mlangoni
Kamuulizi vp mbona upo hapa
Jamaa akajibu " Nimezimia harufu ya haja kubwa aliyokua akiitoa"
Hivi haya ni mapenzi au ufedhuli?
Demu kaenda uani na jamaa kamfuata na kukaa mlangoni akimsubiri msalani
Demu katoka na kukuta jamaa amesimama hapo mlangoni
Kamuulizi vp mbona upo hapa
Jamaa akajibu " Nimezimia harufu ya haja kubwa aliyokua akiitoa"
Hivi haya ni mapenzi au ufedhuli?