Anaonyesha respect kwa mrembo wake alafu akiingia kwenye mtego wake anambadilikia kama sio yule aliekuwa anampigia magoti, kuna ambao hulia machozi na kujaza kikombe lakini ni usanii tu mwisho wa siku kuna kitu ambacho anakifikiria kichwani. na mwingine anafanya hivyo kwa kuwa either hajapata substitute yenye kiwango kinachoendana hivyo anarudi kubembeleza kwa mtindo mpya kama zile style za ombaomba Matonya