tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mgombea wa ubunge wa Jimbo la Wanging’ombe, mkoani Njombe, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Festo Dugange, amezindua rasmi kampeni za chama hicho na kuwataka wananchi kushiriki kwa wingi kupiga kura.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Dk. Dugange aliwahimiza wananchi kuendelea kuiamini CCM pamoja na mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa chama hicho kimekuwa mstari wa mbele kuwaletea maendeleo watanzania.
Soma pia: Dkt. Festo Dugange: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utazingatia 4R's za Rais Samia
Akizungumza katika uzinduzi huo, Dk. Dugange aliwahimiza wananchi kuendelea kuiamini CCM pamoja na mgombea urais, Samia Suluhu Hassan, akibainisha kuwa chama hicho kimekuwa mstari wa mbele kuwaletea maendeleo watanzania.
Soma pia: Dkt. Festo Dugange: Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utazingatia 4R's za Rais Samia