PreGE2025 Dua maalum ya kumuombwa Rais Samia

PreGE2025 Dua maalum ya kumuombwa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Thabit Madai

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
54
Reaction score
144
IMG-20250126-WA0048.jpg


Kuelekea kuadhimisha siku ya Kuzaliwa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Wananchi wa kijiji cha Kizimkazi wameungana pamoja katika Dua maalum ya Kumuombea kheri ya kuzaliwa Dkt. Samia Suluhu Hassani.
IMG-20250126-WA0050.jpg


Dua hiyo imefanyika katika Uwanja wa kizimkazi Dimbani huku viongo mbalimbali wa Serikali na chama wakijumuika katika Dua hiyo iliyoongozwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa kusini Unguja na Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar.
IMG-20250126-WA0049.jpg
 
Hii nchi inahitaj watu kama m23 tumechoka na hizi drama
 
Hao wazee ndio wanaongoza kutusema vijana wa sasa eti hatujielewi
 
Back
Top Bottom