Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Hapa wenye nguvu wadhalimu wanajipa vyeo kama wenye mam1aka katika nyanja zote za maisha, uungu ukiwemo, huku metha1i nzima ikionesha matajiri au wenye nguvu za kifedha na kimamlaka katika jamii kama wenye kinga dhidi ya adhabu zozote duniani na ahera licha ya maovu wayatendayo.
1. Nakumbuka nikiwa chuoni kulikuwa na mchezo wa kuwahi makontena mapya, wale mabinti wageni vyuoni wametokea form 6 bado ni wageni, basi nikapata mchumba hapo ila alikuwa ni kisu kikali sana ilibidi nilijibane sana kumuhudumia ili nipunguze makali ya ushindani.
Ebwana eee!! Mdhalimu akaja kulisomba koloni langu, huyu alikuwa ni mtoto wa kishua anapewa kama milioni 1 kila mwezi maana mzee wake alikuwa mzito sana mwenye cheo kikubwa sana Serikalini, Niliona naibiwa laivu laivu mtoto anaenda kama masikara, nililaani sana lakini wapi.
1. Nakumbuka nikiwa chuoni kulikuwa na mchezo wa kuwahi makontena mapya, wale mabinti wageni vyuoni wametokea form 6 bado ni wageni, basi nikapata mchumba hapo ila alikuwa ni kisu kikali sana ilibidi nilijibane sana kumuhudumia ili nipunguze makali ya ushindani.
Ebwana eee!! Mdhalimu akaja kulisomba koloni langu, huyu alikuwa ni mtoto wa kishua anapewa kama milioni 1 kila mwezi maana mzee wake alikuwa mzito sana mwenye cheo kikubwa sana Serikalini, Niliona naibiwa laivu laivu mtoto anaenda kama masikara, nililaani sana lakini wapi.