Dstv wapo juu ya sheria?

Dstv wapo juu ya sheria?

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Sheria inataka kila kampuni lenye king'amuzi linatakiwa kutoa local chanel 5 bure, cha kushangaza multchoice hawazingatii hili, kifurushi kikiisha basi wanakufulumisha hata za bure hupati.
 
Ni wezi sana. Nilipa kifurushi cha 85 baada ya siku mbili wakanikatia wakisema eti mwezi uliopita nilitumia kifurushi cha 150,0000. Wakati siku zote nalipia hiyo kwa mpira tu. Hela hawakurudisha nami nikahama. Wanajidai tu kwa kuwa wana weza kuzima saa yoyte. Iko siku nitaazisha yangu. DSTV wanatuibia sana.
 
Sheria inataka kila kampuni lenye king'amuzi linatakiwa kutoa local chanel 5 bure, cha kushangaza multchoice hawazingatii hili, kifurushi kikiisha basi wanakufulumisha hata za bure hupati.

Binafsi sioni umuhimu wa kuwa na hizo Chanel 5.TBC,Chanel 10 na Star TV zinatosha.Kama umeweza kununua DSTV sio fair kutegemea Chanel za bure unapaswa kulipia
 
Kwani hamuwezi ku chakachua icho king'amuzi cha dstv mkawa mnaangalia chanels zao bureeee?

Ooh mtalipia sana tu
 
Sheria inataka kila kampuni lenye king'amuzi linatakiwa kutoa local chanel 5 bure, cha kushangaza multchoice hawazingatii hili, kifurushi kikiisha basi wanakufulumisha hata za bure hupati.

multichoice sio local TV (king'amuzi) wale ni international ni sawa na TV nyingine international za kulipia kama Qsat na nyingine. Ndio maana walikuwepo toka hata ving'amuzi vya local havijaanza
 
multichoice sio local TV (king'amuzi) wale ni international ni sawa na TV nyingine international za kulipia kama Qsat na nyingine. Ndio maana walikuwepo toka hata ving'amuzi vya local havijaanza

Ila wana operate Tanzania so they must abide with URT laws upo hapo
 
Sheria inataka kila kampuni lenye king'amuzi linatakiwa kutoa local chanel 5 bure, cha kushangaza multchoice hawazingatii hili, kifurushi kikiisha basi wanakufulumisha hata za bure hupati.

hawapo juu ya sheria bali hiyo sheria haiwahusu wanao rusha matangazo yao kwa dish, kadhalika zuku na azam.., hiyo sheria ipo kwa wenye ving'amuzi vitumiavyo antena
 
Sheria inataka kila kampuni lenye king'amuzi linatakiwa kutoa local chanel 5 bure, cha kushangaza multchoice hawazingatii hili, kifurushi kikiisha basi wanakufulumisha hata za bure hupati.

ile ni international company sasa wakisema waweke hzo local ziwe free wataweka za nchi ngapi??
 
Back
Top Bottom