DSTV Offer

DSTV Offer

jashmoe32

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
1,099
Reaction score
438
Wajumbe nimesikia tangazo la DSTV la offer zao katika package na nlikua nataka kujuzwa kama mtu amelisikia vizuri hilo Tangazo mana nimeskia juu juu katika daladala na je ukitaka kuona channel za supersports zinazodeal na mpira inakua katika package ipi na gharama yake ikoje?
 
Wajumbe nimesikia tangazo la DSTV la offer zao katika package na nlikua nataka kujuzwa kama mtu amelisikia vizuri hilo Tangazo mana nimeskia juu juu katika daladala na je ukitaka kuona channel za supersports zinazodeal na mpira inakua katika package ipi na gharama yake ikoje?

Ungetembelea ofisi zao mkuu!
 
ofa waliyotoa wao ni kuonyesha baadhi ya channels zilizopo ktk kifurushi cha premium hata kwa wale waliolipia kifurushi cha access kwa cku 2 tu**weekend offer**. Ila malipo yao yapo palepale elfu 16.5 kwa access,33family,53 compact na laki 135 premium.
 
Wajumbe nimesikia tangazo la DSTV la offer zao katika package na nlikua nataka kujuzwa kama mtu amelisikia vizuri hilo Tangazo mana nimeskia juu juu katika daladala na je ukitaka kuona channel za supersports zinazodeal na mpira inakua katika package ipi na gharama yake ikoje?

Hivi hawa jamaa huwa hawana website kiasi usambazaji taarifa zao kwa wateja unategemea vipeperushi na TV peke yake?
 
wwww.dstv.com au nenda Facebook,ninachojua bei ya dekoda na dish ni 169,000 kama sijakosea na vifurushi vipo aina mbalimbali mkwanja mkubwa ndio unaona mipira mingi
 
mbona me Anna premium name sikuona tofauti yeyote mkuu...au sisi haituhusu?

You are a premium subscriber, you already have every channel!!!!..hii ni kwa wale wenzangu na mimi tuliokuwa tunanyimwa channels nyingi ambazo nyie mnapewa, iliuwa ni kwa muda tu imeshaisha!
 
Back
Top Bottom