DSTV bureee full maujanja mjini hapa


Mkuu hiyo ni kila sehem ipo,mimi nipo sehem flani hapa Middle east na sisi tunatumia Al-jazeera sport kimagumashi tu,kwanza tulikuwa tunalipia sasa tunakula kitu live AL-jazeera na Abu dhabi Sport bureeee,wakibadili masafa jamaa wanajua tu,tuna update softwera tu kitu inashuka bureeee!!!!
 
hawawezi funga wewe wamkamate nani wana evidance gani
 
hapana kamanda.... ni ile tu promo lakini yote kheri...
 

Mkuu ni email basi email yangu saidmwahu@yahoo.com siwez kuku pm na2mia sim
 
Mazee naombeni mnitupie hii kitu kwa huku waungwana 0787989282...
 

Tunahitaji hayo maujanja mkuu, makaburu wanatuibia pesa zetu sana walau tufaidi kabla hawajashituka
 
Ni PM plse. Natanguliza shukrani
 
Watu wengine wana boa kweli kweli, sasa hao watakao-ku-pm si ndio hao hao usiotaka wakusome hadharani?
 

nicheki kwa m66_60@yahoo.co.uk
 
Hawa jamaa wanalamba ela yangu mwaka wa kumi sasa kama kuna ahueni kama iyo kuna haja ya kujaribu!
ILa Kenya nasikia wako cheap kuliko bongo sijui Tz wameona shamba la bibi!
 
Nahitaji please ila sijui ku-PM
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…