FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,799
- 46,917
‘Trucking system’?
Hiyo "trucking sytem" ndiyo ikoje?‘Trucking system’?
Sasa mkuu drone hadi iruke juuu angani usawa wa ndege zinapopita...hiyo drone inaenda fata nini huko?... Au inanenda kupiga picha gani...Drone ikiingia kwenye engine ya Ndege inaweza kuleta madhara makubwa hata kusababisha ajali ya Ndege!
Hata Ndege myama anayeruka akiingia kwenye engine ya Ndege anaweza kusababisha ajali sembuse drone?! Engine ya Ndege ni sensitive sana!
Alie karusha ata hukumiwa kifoMara paap kamevutwa kameingia kwenye engine ya dreamliner
Huyu Nziku anabwabwaja tu.Hao Traffic Controllers ina maana hawajui hata TCAA mamlaka ya Anga nchini ambayo ndio Mamlaka inayowasimamia ilishatoa amri kwa barua na matangazo nchi nzima kuwa mtu yeyote anayetaka kutumia drone anatakiwa kuomba kibali na kusajiliwa na Mamlaka ya Anga, yaani TCAA.. sasa hawajui kitu gani wakati mamlaka inalishughulikia.. Alafu hapa kwetu, drones hazipo nyingi wala sio changamoto kubwa hata kidogo..
Upande wa mbele wa jet engine ni sunction side , unavuta chochote kilicho mbele yake , na ndio sababu Kuna umbali hauruhusisiw kukaa Kama jet engine imewashwa. .Hicho ki-drone si kinapeperushwa na upepo huko mbali kabisa
Kwani wao wamesema Ni drone za kubeba sillaha?Sio drone hizo za Coco Beach jamani , Ni drone ambazo zinaweza kubeba na silaha ningepata kapicha ningeweka.
Mi nauliza nawe unaulizaHiyo "trucking sytem" ndiyo ikoje?
Swali zuri sana mkuu,,,Sasa mkuu drone hadi iruke juuu angani usawa wa ndege zinapopita...hiyo drone inaenda fata nini huko?... Au inanenda kupiga picha gani...
Eee, hata njiwa au kunguru anaweza kuangusha ndege kubwa.Hivi hizi drone zina uwezo wa kuidondosha ndege?
Mzee kuna drones za kijeshi zinaenda juu zaidi kuliko hata ndege yenyeweSasa mkuu drone hadi iruke juuu angani usawa wa ndege zinapopita...hiyo drone inaenda fata nini huko?... Au inanenda kupiga picha gani...
Tracking na si trucking‘Trucking system’?
Apo nimekuelewa...sasa mamlaka inayohusika ingekuwa ingeweka namna wale wanaorusha drone maeneo karibia na airport kupata kibali kutoka mamlaka ya anga.Swali zuri sana mkuu,,,
Ni hivi mkuu,,, kinachowasumbua waongoza Ndege pamoja na wadau wa aircraft, sio kwamba drones zinaruka juu kuzifuata Ndege hapana mkuu,, Bali ni ule wakati wa Ndege inaporuka au inapotua!
Ndege inaporuka au inapotua huwa kimo cha chini sana ambacho drones nyingi huwa zinaruka kimo hicho, sasa maeneo hayo ndio sehemu za hatari sana, kwa mfano eneo la Dar es salaam kuzunguka Uwanja wa Ndege wa JNIA, KIA, SONGWE , NDULI, MWANZA, nk ambapo Ndege hushuka kimo cha chini ili kutua au hupaa angani kuanzia chini sasa zinaweza kukumbana Na drones Na kusababisha ajali mkuu,,
hao waongoza Ndege wanalalamikia maeneo hayo na sio anga la juu kabisa ambako zinazoweza kufika huko labda drones za kijeshi ambazo hufanya mashambulizi kama kule Afghanistan na somalia.
Kama za kijeshi it means nazo zipo katika upande wa serikali...hivo ni wanajichanganya wao kwa wao kati ya sekta flani na sekta ingine...hakukuwa na haja ya kwemda kwenye vyombo vya habari.Mzee kuna drones za kijeshi zinaenda juu zaidi kuliko hata ndege yenyewe
"kiswahili iwe lugha ya kufundishia masomo yote isipokuwa kiingereza chenyewe..."Drone kwa Kiswhaili NDEGE NYUKI??????? Dah
Nikweli mkuu,,, na kama nakumbuka mamlaka ya mawasiliano ilishatoa tamko kuwa lazima drones zote zipate usajili kabla ya kuanza Kazi, kila mmiliki wa drones lazima awe na kibali cha umiliki na kufanyia Kazi.Apo nimekuelewa...sasa mamlaka inayohusika ingekuwa ingeweka namna wale wanaorusha drone maeneo karibia na airport kupata kibali kutoka mamlaka ya anga.
Ndio, tena hatariHivi hizi drone zina uwezo wa kuidondosha ndege?
Drone Inaenda Juu mita 5800M na horizontaly inaenda 7KmKujijweza na kutafuta sababu na visingizio tu. Nani mwenye drone yenye uwezo was kupaa mpaka ndege zinakipita huko juu. Hata hivyo hapa hatuna air traffic kubwa sana mpaka drone zionekane tishio. Pia hatuna done nyingi za kuleta madhara