Drivers za toshiba laptop

mfereji maringo

JF-Expert Member
Nov 19, 2010
1,037
250
Wazee nimeformat kalaptop kangu na kupandisha xp, sasa baadhi ya drivers hazijarudi, ninatumia modem, je nawezaje solve tatizo hilo kwa msaada wa net?
 
Nashkuru baba mtu, nitajaribu kupitia hiyo link, na kuhusu pesa kwani inaweza kuhitaji mb ngapi?
 
Ndugu yangu uko mkoa gani wa TZ? Niko Dar kama uko hapa,Napenda ujue kuwa hizo ni kati ya shughuli zangu za kila siku.Nina njia ya haraka ya kukusaidia kwanza ili usiharibu mtiririko wa kazi. Kwa faida ya wengine wote ntapandisha link soon!
 
asante nitakushukuru ukiweka link, mimi hapa nipo mkoa wa mtwara wilaya ya tandahimba nawatumikia watanzania wenzangu, na pia kusaka tonge, nilikuwa hapo dar wiki iliyopita, natarajia kuwepo huko tena mwisho wa mwezi huu.
 
Back
Top Bottom