Mtafute huyu jamaa 0744 989 483 kutoka Agro-AfricaHabari
Kuinstall drip irrigation system inaweza kugharimu kiasi gani kwa hekari moja ya shamba?
Nipo Morogoro mjini,na je ntawapata wapi wataalamu ya kazi hii
nipo hapa boss,drip irrigation tunafunga kwa gharama nafuu na tuna wataalamu wenye uzoefu.Habari
Kuinstall drip irrigation system inaweza kugharimu kiasi gani kwa hekari moja ya shamba?
Nipo Morogoro mjini,na je ntawapata wapi wataalamu ya kazi hii
Gharama za drip irrigation hutegemea na mambo mbali mbali kamaHabari
Kuinstall drip irrigation system inaweza kugharimu kiasi gani kwa hekari moja ya shamba?
Nipo Morogoro mjini,na je ntawapata wapi wataalamu ya kazi hii
Good sana, Mungu akubarikiGharama za drip irrigation hutegemea na mambo mbali mbali kama
1.Aina ya zao unalotaka kumwagilia
Mfano dripline za papai ni tofauti na zile za nyanya, hoho na mazao mengine ya mboga mboga kwa hyo Gharama pia hutofautiana
2. Shamba lilivyokaa (topography) na mapendekezo ya mteja
Drip irrigation kwenye shamba ambalo ni flat hutofautiana na shamba ambalo lina mwinuko au mteremko kwa sababu shamba la namna hii utahitaji kuligawa katika plot (head units) ndogo ndogo ili utokaji wa maji uwe sawa kwa kila mmea tofauti na shamba ambalo ni flat lisilo hitaji kugawanywa
Pia mteja anaweza kuamua kugawa shamba lake kwenye plots mfano wateja wengine wanaweza kuamua hekari moja igawanywe mara mbili na kila nusu hekari anaotesha zao tofaut so gharama hapa zitatofautiana
3. Materials zinazotumika
Katika drip irrigation zipo materials kutoka kampuni mbalimbali zenye specifications na ubora tofaut mfano tuongee issue ya wall thickness. Zipo drip zenye wall thickness ya 1mm, 0.6mm, 0.4mm(hizi ndio nyingi sokoni)., 0.2mm na pia zipo dripline za round, flat na nyingine ni pressure compensation na pia zipo za self flushing so Gharama pia zinategemea unatumia materials gani na kutoka kampuni gani mfano Netafim, captain, azud, toro, john Deere, irritec, green agriculture, sertan, vishaka, mertplus, irrist, approtech na nyingine nyingi
Kwa kumalizia kama mkulima unahitaji irrigation system angalia zaidi ubora wa kati na uchukue material ambazo unaweza kuzitumia angalau kwa miaka mitano ili uweze kurudisha Gharama Zako
Pia tafuta mfungaji mzuri ili system yako iweze kufanya kazi kwa tija nzuri
Pia hakikisha unawekeza pia kwenye usimamizi wa mradi wako ili uweze kupata faida kwani unaweza kuwekeza sana kwenye infrastructure na kusahau kuwa usimamizi na agronomia ni msingi. Mfano ukikosea kupiga dawa au kuweka mbolea utaishia kupata hasara na kulaumu drip irrigation
Kwa maelekezo haya karibu tukuhudimie sisi tunafanya design, installation pamoja na uuzaji wa vifaa vya irrigation tupo morogoro mjini na dsm mikocheni
0763347985 / 0673000103
Gharama zetu ni 2.5mil-3mil kulingana na factor nilizoeleza hapo juu
Mkuu mimi ninazo bunda kumi za 1000mtrs mm 16 na vifaa vyake je hizi zinaweza kuhudumia ekari tatu kwa kilimo cha mahindi au mazao yenye space kama hizo? na je gharama za kufunga tu utanitoza sh ngapi ? shamba langu liko flat.Gharama za drip irrigation hutegemea na mambo mbali mbali kama
1.Aina ya zao unalotaka kumwagilia
Mfano dripline za papai ni tofauti na zile za nyanya, hoho na mazao mengine ya mboga mboga kwa hyo Gharama pia hutofautiana
2. Shamba lilivyokaa (topography) na mapendekezo ya mteja
Drip irrigation kwenye shamba ambalo ni flat hutofautiana na shamba ambalo lina mwinuko au mteremko kwa sababu shamba la namna hii utahitaji kuligawa katika plot (head units) ndogo ndogo ili utokaji wa maji uwe sawa kwa kila mmea tofauti na shamba ambalo ni flat lisilo hitaji kugawanywa
Pia mteja anaweza kuamua kugawa shamba lake kwenye plots mfano wateja wengine wanaweza kuamua hekari moja igawanywe mara mbili na kila nusu hekari anaotesha zao tofaut so gharama hapa zitatofautiana
3. Materials zinazotumika
Katika drip irrigation zipo materials kutoka kampuni mbalimbali zenye specifications na ubora tofaut mfano tuongee issue ya wall thickness. Zipo drip zenye wall thickness ya 1mm, 0.6mm, 0.4mm(hizi ndio nyingi sokoni)., 0.2mm na pia zipo dripline za round, flat na nyingine ni pressure compensation na pia zipo za self flushing so Gharama pia zinategemea unatumia materials gani na kutoka kampuni gani mfano Netafim, captain, azud, toro, john Deere, irritec, green agriculture, sertan, vishaka, mertplus, irrist, approtech na nyingine nyingi
Kwa kumalizia kama mkulima unahitaji irrigation system angalia zaidi ubora wa kati na uchukue material ambazo unaweza kuzitumia angalau kwa miaka mitano ili uweze kurudisha Gharama Zako
Pia tafuta mfungaji mzuri ili system yako iweze kufanya kazi kwa tija nzuri
Pia hakikisha unawekeza pia kwenye usimamizi wa mradi wako ili uweze kupata faida kwani unaweza kuwekeza sana kwenye infrastructure na kusahau kuwa usimamizi na agronomia ni msingi. Mfano ukikosea kupiga dawa au kuweka mbolea utaishia kupata hasara na kulaumu drip irrigation
Kwa maelekezo haya karibu tukuhudimie sisi tunafanya design, installation pamoja na uuzaji wa vifaa vya irrigation tupo morogoro mjini na dsm mikocheni
0763347985 / 0673000103
Gharama zetu ni 2.5mil-3mil kulingana na factor nilizoeleza hapo juu
Hi mkuuMkuu mimi ninazo bunda kumi za 1000mtrs mm 16 na vifaa vyake je hizi zinaweza kuhudumia ekari tatu kwa kilimo cha mahindi au mazao yenye space kama hizo? na je gharama za kufunga tu utanitoza sh ngapi ? shamba langu liko flat.
Gharama zake ni kuanzia laki sita mpka nanePia naomba kuuliza kuinstill drip irrigation kwenye shamba la parachich ambalo ni ekali moja Ina mashina ya parachich 60 inaweza garimu kiasi gan?
Gharama za kufunga kwa hekari moja ni kuanzia 350,000 mpka 500,000 inategemea na eneo na mapendekezo ya mtejaMkuu mimi ninazo bunda kumi za 1000mtrs mm 16 na vifaa vyake je hizi zinaweza kuhudumia ekari tatu kwa kilimo cha mahindi au mazao yenye space kama hizo? na je gharama za kufunga tu utanitoza sh ngapi ? shamba langu liko flat.
Mfano wa single row na double rowMkuu mimi ninazo bunda kumi za 1000mtrs mm 16 na vifaa vyake je hizi zinaweza kuhudumia ekari tatu kwa kilimo cha mahindi au mazao yenye space kama hizo? na je gharama za kufunga tu utanitoza sh ngapi ? shamba langu liko flat.
Unacho chanzo cha maji cha uhakika?Habari
Kuinstall drip irrigation system inaweza kugharimu kiasi gani kwa hekari moja ya shamba?
Nipo Morogoro mjini,na je ntawapata wapi wataalamu ya kazi