Dreamliner ATCL yatumwa Sudan

Itarudi na Abria? Ikirudi tupu hasara iwapo tu wanalipa. Kama hawalipi haina maana

That is a charter flight....Atcl itakuwa imekula hela ndefu kama hamna ufahamu na baadhi ya field bora upite kama upepo bila kutoa comment
 

Haaah We jamaa Nan kakuambia kuwa ikienda itarudi tupu bila abiria?

Tujifunze utamaduni wa kufuatilia habari kwa ukamilifu wake pamoja kuandika ukweli na sio personal opinion yako kulazimisha iwe ndio habari

Dreamliner itarudi na Wanajeshi waliomaliza muda wao kuhudumu Darfur
 
Ilikwenda Harare trip moja kilichotokea mzee alisikia akaanguka..lengo halijafikiwa
Sasa issue ni abiria au ni marketing strategy hakuna.Anyway ukiuliza sana utaambiwa wewe mpinzani hata kama unataka kuweka mawazo yako inakuwa ngumu.Nipambane na hali yangu
 
bado linatapatapa mwisho wa siku litamilikishwa jeshi ili muache kuhoji kama ilivyofanywa kwa kivuko. Na hii ndo Tanzania. Tunaanza kujenga nyumba kabla hata kuchimba msingi, jiulize hiyo nyumba itasimamaje.


Aise kwa suala la kuwa na ndege Mkulu alikurupuka sana ,

Naona kwa sasa haliingizi kitu kabisa. Lipo tu .
Yaan mtu unaweka pesa mahali tena pesa nying afu haizai
 
Kwa kawaida hawa wanaokwenda, wanakwenda kubadilishana na kundi lililotangulia ... ni kitu kama "shift". Hata kama wanakwenda mara moja UN hulipia kwenda na kurudi kwa ndege waliyoikodi.
 
Ikirudi itakwenda wapi?
 
Aise kwa suala la kuwa na ndege Mkulu alikurupuka sana ,

Naona kwa sasa haliingizi kitu kabisa. Lipo tu .
Yaan mtu unaweka pesa mahali tena pesa nying afu haizai
stay tuned hili dreamliner itaanza safari India julai, na baadaye china ,ila limekula madola yetu tungeweka madola katika viwanda tungepata faida nyingi sana .....
 
stay tuned hili dreamliner itaanza safari India julai, na baadaye china ,ila limekula madola yetu tungeweka madola katika viwanda tungepata faida nyingi sana .....
Mda ni jawabu zuri sana Maishan


Let me wait.
 
Shida sio kiruka ,shida ni je faida inapatikana?
 
Ilikwenda Harare trip moja kilichotokea mzee alisikia akaanguka..lengo halijafikiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
LItatua kyela?
Kuna watu wanalihitaji huko
 
Uongozi wa etc inabidi uniongezee. Ndegr mnanunuliwa na kukabidhiwa bure, na wateja(tenda) nazo mpaka mtafutiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…