Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

adriz umejikausha tuliii

Naomba uulezee umma jana nini kilikukuta baada ya kujidhatiti kutaka kupindua meza na kuondoa fedheha

Duh! Aibu naona mimi
Mechi ijayo gemu nne nitakupiga zote kisha nitakuwa sina deni nimeshasawazisha mzani.

Hesabu mechi kabisa usije baada ya vipigo vyangu kukuchanganya ukasahau data..
 
Mechi ijayo gemu nne nitakupiga zote kisha nitakuwa sina deni nimeshasawazisha mzani.

Hesabu mechi kabisa usije baada ya vipigo vyangu kukuchanganya ukasahau data..


Nataka niweke rekodi nisifungwe na simu yako mpya hadi uhisi ina gundu ukabadilishe

Mi nikajua utakuwa hatari ndo kwanza umezidi kuwa mdebwedo
 
Mechi ijayo gemu nne nitakupiga zote kisha nitakuwa sina deni nimeshasawazisha mzani.

Hesabu mechi kabisa usije baada ya vipigo vyangu kukuchanganya ukasahau data..
Umefungwa tena Bro mbn wanakuonea sn
 
Back
Top Bottom