DRC Updates: Kalemie, risasi zaanza kulindima

Marekani ni kubwa kuliko DRC lakini hakuna upuuzi kama huo.Au Algeria ni kubwa kuliko DRC
Serikali hizo zina resources za kufika kila kona ya nchi. Pia nchi kama Algeria japo kubwa, watu wengi wanaishi eneo dogo tu la nchi
 
Kansa ikishasambaa mwilini hakuna dawa ya kutibu, ni kusubiri siku ya kutwaliwa tu.
 
Hao nao hata wakichukua nchi, wataanza ufisadi na waasi wengine wataibuka kuwapiga. Futile cycle. Hiyo nchi zinatakiwa kutoka nchi nyingi, tano, kumi au 20 hadi 26 kulingana na idadi ya majimbo yao.
Hii haijawahi kuwa solution tatizo la viongozi wengi wa Afrika ni UBINAFSI.

Sudan waliigawa je pametulia?
 
Fayulu alishindwa?
 
Sasa hivi M23 anashiriliana na Kabila,na huo mwaka 2013 aliyekuwa raisi ni Kabila,hapo ndo utajua mahesabu ni magumu sana ya DRC,jana nilikuwa na Mcongoman anayetokea Bukavu akawa ananiambia ni bora wachukue tu nchi yote maana kwa sasa Bukavu ni kama imefungwa,mabenki hayafanyi kazi,na kodi anayekusanya kwa sasa ni M23
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…