Kuna kosa kubwa walilofanya ndo matokeo yake na haiwezi kukaa ikaisha.
Alipokuwa anagombea, aliomba hawa M23, ambao kipindi hicho walikuwa CNDP, kuwa ndo wataunda Republican Guard. Watu wakachaguliwa, na batallion 3 zikawekwa standby.
Katika uchaguzi huo, Moise Katumbi, ndo alikuwa mshindi, ila kimpango akapokonywa. Rais alivoapishwa, akawageuka. Ndo hapo mambo oyote yalipoanzia.