Drake- God's plan

Ukiwazungumzia Kendrick na Drake kwa sasa ni sawa na kuwazungumzia Nas na Jay Z respectively,,, kuna mmoja yuko Real na mwingine commecial
 
Yap

Unaionaje ili ngoma.

Halafu kijana nae n illuminat?
Ndio mkuu,, ngoma kali hasa video,,,isikilize album yote yaani Black Panther,,, aisee kuna ngoma nzuri sana humo kuna ngoma kafanya na wasouth Afrika inaitwa Seasons hao jamaa wakisouth wanaitwa Sijava,Mozzy na Reason
 
Si kila mtu anaelezea hali yake.

K lamar yeye ana yake na drizzy nae ana yake. Mmoja katokea kwenye race yenye matatizo ya kila aina wakat mwingine katokea kwenye race inayosemekana kuwa race bora duniani. So lazima uandshi wao utofautiane.
Sawa Chief ,Mtu nishazoea kuwasikiliza kina Tupac ,Nas nk Kendrick ama Jcole ndio nitakuwa makini kuwasikiliza kina Drake labda nikiwa viwanja huko ndio nisikilize nyimbo zake

Anyway kila mtu ana machaguo yake
 
Ndio mkuu,, ngoma kali hasa video,,,isikilize album yote yaani Black Panther,,, aisee kuna ngoma nzuri sana humo kuna ngoma kafanya na wasouth Afrika inaitwa Seasons hao jamaa wakisouth wanaitwa Sijava,Mozzy na Reason
Na yeye yupo kwenye chama la wana the illuminat?
 
Sawa Chief ,Mtu nishazoea kuwasikiliza kina Tupac ,Nas nk Kendrick ama Jcole ndio nitakuwa makini kuwasikiliza kina Drake labda nikiwa viwanja huko ndio nisikilize nyimbo zake

Anyway kila mtu ana machaguo yake
So far kila mmoja yupo vizur kivyake
 
Si kila mtu anaelezea hali yake.

K lamar yeye ana yake na drizzy nae ana yake. Mmoja katokea kwenye race yenye matatizo ya kila aina wakat mwingine katokea kwenye race inayosemekana kuwa race bora duniani. So lazima uandshi wao utofautiane.
Achana na POROJO...
HUWEZI kumfananisha Kendrick na na mbana pua kama Drake..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…