Ndio mkuu,, ngoma kali hasa video,,,isikilize album yote yaani Black Panther,,, aisee kuna ngoma nzuri sana humo kuna ngoma kafanya na wasouth Afrika inaitwa Seasons hao jamaa wakisouth wanaitwa Sijava,Mozzy na Reason
K lamar yeye ana yake na drizzy nae ana yake. Mmoja katokea kwenye race yenye matatizo ya kila aina wakat mwingine katokea kwenye race inayosemekana kuwa race bora duniani. So lazima uandshi wao utofautiane.
Sawa Chief ,Mtu nishazoea kuwasikiliza kina Tupac ,Nas nk Kendrick ama Jcole ndio nitakuwa makini kuwasikiliza kina Drake labda nikiwa viwanja huko ndio nisikilize nyimbo zake
Ndio mkuu,, ngoma kali hasa video,,,isikilize album yote yaani Black Panther,,, aisee kuna ngoma nzuri sana humo kuna ngoma kafanya na wasouth Afrika inaitwa Seasons hao jamaa wakisouth wanaitwa Sijava,Mozzy na Reason
Sawa Chief ,Mtu nishazoea kuwasikiliza kina Tupac ,Nas nk Kendrick ama Jcole ndio nitakuwa makini kuwasikiliza kina Drake labda nikiwa viwanja huko ndio nisikilize nyimbo zake
K lamar yeye ana yake na drizzy nae ana yake. Mmoja katokea kwenye race yenye matatizo ya kila aina wakat mwingine katokea kwenye race inayosemekana kuwa race bora duniani. So lazima uandshi wao utofautiane.