palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,462
Habari Wakuu.Ninaleta kwenu Dr.W.P Slaa The Special Thread.Uzi huu una malengo makubwa mawili
- Kumshawishi Dr.Slaa aone umuhimu wa kuomba ridhaa ya kugombea urais kupitia UKAWA.Na vilevile kuwashawishi UKAWA waone busara ya kumptisha Dr.Slaa kupeperusha bendera ya UKAWA.
- Kuweka pamoja katika JF harakati za Dr.Slaa(kama atapitishwa) kuanzia kuchukua fomu,harakati zote za kipindi cha kampeni mpaka kusimikwa na kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Team Lowasa leo kule kwa Wamwela wamewaambia mnaishi kwa matumaini siku nguvu za dawa zikishindwa mna R.I.P.Mleta mada,
Huna haja ya kuweka historia ya Dr Slaa upya humu JF. Sijui weweni mgeni ama vipi, lakini tayari historia ya Dr Slaa ipo humu kabla ya kushindwa kwake uchaguzi wa mwaka 2010.
Haya yote unayofanya hapa ni marudio tu. Na Membe leo amewachana LIVE kuwa hao wafalme wenu ndio wanafanya CCM ushinde kwa kishindo katika kila uchaguzi. Naona na wewe kwa akili zako ndogo unarudia yale yale.
Invisible...tafadhali unganisheni uzi huu na ile uzi ya kipindi kile ya Dr Slaa.
Team Lowasa leo kule kwa Wamwela wamewaambia mnaishi kwa matumaini siku nguvu za dawa zikishindwa mna R.I.P.
dr.slaa ni lina atafunga ndoa na josefin mushumbusi? Nilimchangia mchango wa harusi yake mpaka leo haijafanyika,,,kama harusi imemshinda aturudishie pesa zetu
mambo 9 kuhusu dr.wilbroad slaa
1. Anachokisimamia
dk slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajibikaji katika uongozi wa nchi na utendaji serikalini.
Dk. Slaa anaamini kuwa watanzania wanaweza kuleta mabadiliko wanayoyataka wakipata uongozi bora na thabiti..
...kwa mtizamo wangu dr.slaa hana maadili na sio muadilifu na haaminiki..angekuwa muadilifu na mwaminifu asingelisaliti kanisa katoliki.
if u dont know now know
Rais wa mioyo ya watanzania anayesubiri kuapishwa.
Huyu kibabu slaa sinpendi sana bora AF......eeee
we ni kilaza 100%Mumshawishi kugombea urais Dr.Slaa? Hebu acheni masihala mumshawishi wakati Dr.Slaa ndiyo mgombea urais wa kudumu wa Chadema nani mwingine ambaye kajitokeza kugombea? Hamna yeyote atakaye jaribu kugombea urais Chadema kama ajafukuzwa kama paka.
Hiyo itakuwa nzuri kwa Kanisani tu na kashindwa kuitumia.
Kamanda! Dr.Slaa anasimamia maadili gani? Hivi unajua Dr.Slaa alishaitelekeza familia yake na kwenda kupora mke wa mtu na kumpa ujauzito.Mambo 9 Kuhusu Dr.Wilbroad Slaa
1. Anachokisimamia
Dk Slaa anasimamia maadili, uadilifu, umakini na uwajibikaji katika uongozi wa nchi na utendaji serikalini.
Dk. Slaa anaamini kuwa Watanzania wanaweza kuleta mabadiliko wanayoyataka wakipata uongozi bora na thabiti..
...Kwa mtizamo wangu dr.slaa hana maadili na sio muadilifu na haaminiki..angekuwa muadilifu na mwaminifu asingelisaliti kanisa katoliki.
Tazama tena list of shame pale nilipoweka rangi ya hatari
Huu uandishi wako wa kike peleka Facebook.Ndoa lini... Maana naskia ucku unajikuna sana... Ni PM