Dr. Wilibrod P. Slaa: Special Thread

kelele za chura......machozi ya samaki.....mbio za panya....na urais kwa chadema utaishia midomoni na kwenye maandamano

slaaa ndiyo kiboko yenu mafisi.Maccm yanaruka na kukanyagana kuelekea kuzimu
 
Dr. Slaa ndo raisi wetu mtarajiwa.
 
slaaa ndiyo kiboko yenu mafisi.Maccm yanaruka na kukanyagana kuelekea kuzimu

kwa taarifa yako....uchaguzi mwakahuu ccm haina mpinzani....ila vyama vya upinzani ndio vinapingana so kuna upinzani kati ya ACT na UKAWA
 
Huyu ndiye katibu mkuu makini kuwahi kutokea katika siasa za Afrika Mashariki na Kati
 
kwa taarifa yako....uchaguzi mwakahuu ccm haina mpinzani....ila vyama vya upinzani ndio vinapingana so kuna upinzani kati ya ACT na UKAWA

wewe huna akiri timamu au unaongelea matakoni mwa fisadi lowasa
 
thats positive mind mleta mada, nakupa heko mkuu.
 
Tuache ushabiki wa kisiasa kati waliotangaza nia za kugombea uraisi kupitia ccm wapo karibu 30 ni mgombea yupi mwenye CV inayozidi Dr.Slaa ?
watanzania wanayo haki ya kuwaangalia kwa makini hawa wagombea uraisi kupitia ccm kwani wengi wao wanakuja na sera ambazo wameshindwa kuzitekeleza wakiwa ndani ya serikali wanasubiri waje wapewe uraisi ndo waje kutuleta maendele huo ni usanii .
Kama ccm wameongoza kwa miaka 53 wameshindwa kutuletea maendeleo mpaka huduma za kijamii kama maji,zahanati ,shule n.k zimekuwa ni tatizo kubwa sana .
Waliotangaza nia za kugombea uraisi ndani ya ccm hakuna mwenye uwezo wa kuwaletea watanzania maendeleo .maendeleo yataletwa na utawala mpya wa UKAWA .Ndo maana hata ukiangalia waliotangaza nia za kugombea uraisi kupitia ccm hakuna mwenye CV inayomshinda Dr.Slaa hizo ni dalili tosha na salamu ccm wanapoteza muda wao bure hatuwezi kuwaamini tena .
View attachment 258826View attachment 258827
 
Tuache ushabiki wa kisiasa kati waliotangaza nia za kugombea uraisi kupitia ccm wapo karibu 30 ni mgombea yupi mwenye CV inayozidi Dr.Slaa ?

CV ndio inampa mtu uwezo wa kuongoza?
Mahiga unamfahamu?
Kama watanzania tutafuata maujinga kama haya na kuchagua viongozi wetu kwa vigezo vya anayejua kuongea kwenye midahalo,mwenye CV sijui ya aina gani,basi tutaendelea kuwa maskini kwa miaka mingi ijayo.
 
kwa hiyo unataka tuongozwe na mbunge mwenye CV kama Lusinde hajui hata kiingereza .
 

.Dr Slaa ndio mtanzania pekee anaweza kufumua mfumo huu wa utawala uliofeli kutatua kero za watanzania na kubadili maisha ya watanzania. Dr Slaa anaweza kumaliza vita ya ufisadi, umaskini, rushwa, uchumi mbovu na tegemezi, yfukara. Dr Slaa anaweza kutuletea rasimu ya warioba kuhakikisha miiko ya uongozi na uwajibikaji na uadilifu. Dr Slaa ni hazina kwa watanzania na Taifa hili
 

familia tu hawezi kutunza sembuse urais...mpeni urais miaka miwili tu mtarudi mnalia Humu.....God forbid!!
 
CV ni zaidi ya shule.nini ilikuwa msimamo wa Mahiga tulipopitishwa na CCM kwenye EPA,Richmond,Wizi wa tembo,Katiba Mpya na Escrow?!
 
Katibu Mkuu wa
Chadema, Dk Willibrod Slaa
ameanza ziara ya siku nane
barani Ulaya ambako atashiriki
mijadala kuhusu hali ya
demokrasia na kukutana na jopo
la wataalamu wa masuala ya
uchumi kwa lengo la
kubadilishana uzoefu katika
kupata mifumo sahihi na
kujenga taasisi za kusaidia
uwajibikaji na kusukuma
maendeleo ya watu.
Katika ziara hiyo ya tatu baada ya
mbili alizofanya Marekani, Dk Slaa
anatarajiwa kukutana na kufanya
mazungumzo na viongozi
mbalimbali wa Umoja wa Ulaya
(EU) kuhusu hali ya demokrasia,
utawala bora na hali ya haki za
binadamu nchini hasa kwa
kipindi hiki ambacho Watanzania
wanaelekea kwenye Uchaguzi
Mkuu.
Taarifa iliyotolewa jana na Mkuu
wa Idara ya Mambo ya Nje na
Uhusiano wa Kimataifa wa
chama hicho, Deogratias Munishi
ilisema: “Katika ziara hiyo,
viongozi hao wa Ulaya watapata
fursa ya kujadiliana na Dk Slaa
hali ya siasa kwa ukanda wa
Afrika Mashariki.”
Dk Slaa ambaye aliondoka
Jumamosi iliyopita,
ameongozana na Mkurugenzi wa
Bunge na Halmashauri wa chama
hicho, John Mrema na Mkuu wa
Idara ya Habari na Mawasiliano
wa Chadema, Tumaini Makene,
ameanza ziara akiwa ametoka
katika mikoa ya Kagera, Mbeya,
Rukwa na Katavi akikagua
uandikishaji wapigakura kwenye
kwa mfumo wa BVR na
kuhamasisha wananchi wenye
sifa kujiandikisha
 
Hizi ni takwimu za kura tulizopiga humu JF.Dr.Slaa amemfunika vibaya Lowasa "anayesafiri kwa matumaini" This poll will close on 2nd April
2016 at 12:35
Edward Lowassa 83 11.04%
Dr. Willibrod Slaa 623 82.85%
Wote hawafai/sijaamua 46
6.12%
Voters: 752.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…